Habari za hapa jamvini wadau!
Naomba mwenye majina ya matawi matano MAARUFU NA YENYE WASHABIKI KINDAKINDAKI ya Simba Sports Club na Young Africans Sports Club yaliyopo DSM anitajie na mahali yalipo.
Kuna utafiti unatakiwa kufanyika, na kwa hiyo naomba kama huna taarifa za msaada usiharibu...
Kwangu mimi Tundu Lissu anatakiwa kuwa CASE STUDY kwa wanafunzi wa ngazi zote namna ya kuwa na uwezo wa kujieleza na kujenga hoja. Ukitoa Mwalimu Nyerere, nadhani Tundu Lissu ni the best kwenye eneo hili.
Ninadhani tulifanya haraka sana kukimbilia kununua ndege bila kufanya upembuzi yakinifu kwenye shirika letu la ndege. Kulipaswa kuwe na upembuzi yakinifu ili kujua tunaweza kulifanya shirika letu la ndege kuwa shindani kabla ya kulipa ndege. Haya tunayosikia kama hujuma dhidi ya ATCL ni...
Wakati gazeti hili linawachafua viongozi wengine nje ya CCM ilionekana kuwa sawa. Leo wameanza kuguswa baadhi ya watu fulani ndani ya CCM imekuwa nongwa. Nadhani tuache double standard, hili gazeti ni uchafu na nitashangaa kama lisipofungiwa kwa muda usiojulikana.
Nadhani watafiti wa sayansi ya siasa wangejaribu kufanya tafiti kuona namna ambavyo ulimwengu unatutazama kufaatia hama hama hii ya wanasiasa toka upinzani kwenda CCM na hasa kwa kuzingatia kuwa wengi wanaohama ni aidha wabunge au madiwani wa kuchaguliwa.
Inawezekana huyu Musiba anaandika haya kwasababu ya chuki binafsi dhidi ya Zitto na hasa za kiasiasa kwa kuzingatia namna ambavyo Musiba amekuwa vuvuzela la CCM na Serikali kwasasa. Mimi sina shida na hilo, VIPI KUHUSU HUYU DADA ALIYEHAMUA KUMUANIKA NAMNA HII BILA KUJALI NI KWELI AU LA, Je hii...
Gazeti la Tanzanite ni tatizo kwa kweli...sijui msemaji wa serikali aliyekuwa mbele kufungia magazeti kama Mwananchi, Tanzania Daima, Raia Mwema, nk anasubiri nini kwa gazeti ili.
Kuna wakati uwa naumia sana pale wanasiasa wanaposhangilia maamuzi ya kisiasa na kusahau utaalamu. Tanzania ni nchi nzuri sana, ila wanasiasa wanahiaribu.
Siku watakapakutana Profesa Kabudi WAZIRI WA SHERIA NA KATIBA, na Profesa Kabudi MJUMBE WA TUME YA MABADILIKO YA KATIBA nadhani tutegemee maafa makubwa na ya kutisha.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.