Service haipaswi kuwepo kabisa, for what? Hii ni kitu hatukupaswa kuwa tunajadili humu na kukipotezea muda kwasababu hakikupaswa kuwepo kabisa. Sasa hivi tulipaswa kuwa tunajadili mambo mengine kama tu tungekuwa na viongozi makini na wazalendo. Kimsingi service charge hiyo ijumlishie na muda...
Nina imani na Magufuli, ninaamini hata haya makampuni ya wanyonya damu hawa kiama chao kimefika kwenye awamu hii. Ni suala la muda tu, tumpatie muda Dr JPJM. Kwani mpaka sasa yote tunayoyaona yanafanyika yeye anasema hajaanza kazi bado, sasa akianza kazi hiyo January kama anavyosema yeye hali...
Hii ni moja bandiko mbovu kabisa humu iliyoandikwa na huyu nguli wa humu kwasababu ya ujinga tu na ushabiki wa kipuuzi tu.
Anayeamua nani awe kiongozi aka rais wa nchi si JK, kilichotokea kwa habari ya wawili hawa si kigeni kutokea kwenye maisha haya.
Kwa utaratibu waliojiwekea CCM mwaka ule...
Inyeshe mvua, liwake jua, hata lango liwe wazi bila mlinda mlango Lowassa haingii ikulu ya Tanzania kamwe. Haitokaa itokee, tunamfahamu Lowassa, huyu na wenzake kadhaa ambao wengine bado yupo nao hata sasa ndiyo mihimili mikuu ya ufisadi nchini, tunamfahamu kwa jinsi alivyohumiza uchumi wa nchi...
Naungana nawe Mwanakijiji, bataelewa tu pale batakapoacha kuwa kama farasi ambaye mwendeshaji/mpandaji wake akipigwa akauwawa basi adui humpanda na kumuendesha, mimi nimegoma, mapenzi ya Lowassa binafsi ya kutaka hayawezi kutafsiriwa kuwa ni mabadiliko.
Siasa ni mchezo wa maslahi, sasa nimemuelewa Juliana Shonza.Kitambo nilikuwa sijamsoma lakini baada ya uhuni aliotufanyia Mbowe juzikati wa kubadilishia gia angani huku mazwazwa wakishangilia nd'o niliona rangi halisi ya mkuu chama letu.
Mkuu Politiki nikupongeze kwa kufikiria hivyo, nilipata wazo la namna hiyo lakini nika'mute kwasababu nilikuwa sijui uwezo wa mkewe ukoje. Ingefaa sana na kupendeza sana.
Hata ukiwa mahiri wa kujibu marefu yenye tija lakini ukichanganya na jibu moja la ovyo na majibu mengine yote mazuri yanakuwa ya ovyo kwa mtindo uleule wa samaki mmoja akioza...
Yaani mtu awe na utajiri wa kutisha ambao hauwezi tolea maelezo yanayojitosheleza unathubutu kumuita mtu ambaye...
CHADEMA imejiingiza kwenye hali ngumu ya kujitakia,wanatumia vibaya imani waliyopewa na watanzania, wanawatumia vibaya watanzania ambao kimsingi tayari wameishaichoka CCM sana tu... CCM wakipata watu mahiri kidogo tu wa kampeni tumeumia. Kwani tumejiondoa kwenye mfumo bora kabisa uliokuwa uwe...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.