Mkuu Tate Mkuu umewasilisha jambo kubwa sana pamoja na ChawaWaMama kutokuona unachokilalamikia.....
Hiki kikokotoo peke yake ingetosha kuiweka ccm pembeni, walimu wangeamua kutoa elimu mitaani hawa wanyonyaji wasingeendelee kuwaibia wastaafu...
Jivunie kitu kingine duniani ila siyo kuwa mwanachama wa ccm...unajidhalilisha Tlaatlaah ...miaka 63 ya Uhuru nchi bado iko gizani....bora tungeendelea
Kuwa chini ya Ukoloni
Mkuu Msanii hongera kwa kujiweka pembeni na jinamizi la ccm....najua ulikuwa ccm ndaki-ndaki...huu ni muda wa kuikataa ccm kabisa.....japo wapinzani nao hawako tayari
johnthebaptist si rahisi kumgundua mtu aliyejificha katikatika ya wananchi...Hamas wakishaondoa kitambaa ya kijani usoni wanaenda haraka kujichanganya kwa raia
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.