Mafinga jkt e coy kwa afande mangwembe we acha tu ,kwenye mziki tukiwa na lali wawa ,mbio ndefu tukiwa na nyoka,hiyo ilikuwa operation usafi kabla ya vita,na afande makona usisahau mp ngere, ee bwana acha tu ,mahindi ya kuchoma na uchinjaji wa kiti moto.mkuu wa kambi msilu, sharp shooter afande...
Ukifuatilia kwa karibu utagundua kuwa wachagga ni jamii yafamilia 12 nazo ni,WAROMBO,WAMWIKA,WAMAMBA,WAMARANGU,WAKILEMA,WAKIRUA,WAMOSHI,WAURU,WAKIBOSHO,WAMACHAME,WAMASAMA,NA WASIHA.Sasanitawaeleza,asili yahawa waislam wamasama roo,kwasadala,mudio na wale wa kalali.
Mh. Nasari,MUNGU NI MWENYE NEEMA NA REHEMA,MTUMAINI YEYE SIKU ZOTE,HATA DAUDI ALIKUWA KIJANA,NA YERUSALEM UKAITWA MJI WA DAUDI .USITISHWE NA FISADI YOYOTE,TUPO PAMOJA NA WEWE KIROHO.MTUMAINI BWANA UTAISHI...peoples pow....er. AMEN.
Nateremsha kiti moto tumboni na soda ya mountain dew. Chadema ni zaidi ya faru.viva cdm,DR.Slaa,MH.mbowe, mh.V.NYERERE,LEMA NA WENGINE ,HONGERA! Peoples power.
Moto wamewasha wenyewe,acha uwaunguze,hakuna wa kunyoosha kidole ,asiye na dhambi awe wa kwanza kutupa jiwe,mafisadi yana speed kuliko bacelona Nape naMUKAMA hamuwawezi, waachieni chadema muone moto wake,viva cdm.
Nilikuwepo pale kisutu wakati ule dk. Lamwai alipotoa maelezo ya mwisho ya kumtetea mama huyu ambapo mama yake sarah alikuwa amekaa kiti cha mbele na sarah kizimbani. Umahiri wa maelezo ya dk. Lamwai ulikuwa na mvuto wa ajabu,korti ilitulia kimya ajabu.
very touching story,huyu mama walimdaka...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.