:tape::A S angry::A S angry:Ijapokuwa ni haki ya wana inji kujua afya za viongozi wao, Lugha inayotumika dhidi yao ni kali na ya udhalilishaji. Nadhani ni vema tukawa na Lugha za kistaarabu sometimes. Haki ya kujua afya za viongozi wetu zilenge nia njema na sio kutaka kudhalilisha. Bahati mbaya...
Acheni uzandiki hapa. Maisha bora hayawezi kuja kwa kukaa vijiweni na kucheza bao. Wanaojibidisha na kazi hukohuko waliko wanafanikiwa vizuri tu. Tatizo ni nyie wasomi wetu mnageuka mchwa na kusahau mliko utoka. Wengi wengi hapa mnaandika tu lakini ni Roho za wizi wa mali za umma na ufisadi wa...
Marando!!!!!!!!!!!!!!!! Spika wa bunge lipi. Na uchafu woooooooooote alionao leo akawe Spika. You guys are really not serious.
Tuache ushabiki wa kisiasa. Marando hana sifa za kuongoza bunge. Msitake tuanze kumuumbua hapa.
Kwakweli ni aibu ilioje kwa wana JF kukwepa kujibu swali mnakimbilia kukashfu. Wether mrema ni Sane au Insane. Jibu hoja ya mwanzilishi wa thread hii halafu utetezi ufuate. Kumbeza Mrema kwa sababu tu unampenda sana Slaa si sahihi.
:nono::nono::nono::nono::nono:Aya Kenge. Hebu ingia bungeni tuone tuliowatuma watakavyotudharau na kukupigia kura za kukuweka kuwa SPIKA.:nono::nono::nono::nono:
Iacheni TISS ifanye kazi yake. Si vyema kutumia taasisi hiyo kujikosha kwa wafuasi wenu hasa baada ya kuwaahidi mambo mengi makubwa. Kukubali kushindwa ni ungwana na hakuna atakayekucheka. Viti 22 kati ya 239 kweli vinaweza kukupa ushindi wa Urais.
Tangu mwanzo nimekuwa nikisistiza kuwa ni...
Mnatuyeyusha tu hapa. Marando atamchochea Slaa hadi achanganyikiwe na baadaye atachochea wanachama against Slaa hadi wachanganyikiwe hatimaye atachochea uongozi wa chama hadi ufarakane na baadaye chama kitaishia kuwa kama NCCR ya Marando. Endeleeni kumsikiliza na kumkumbatia mkadhani mmepata mtu...
Wewe sio MPENDANCHI bali ni MPENDAUCHI.
Viongozi huzaliwa ndugu yangu. Ndio maana nchi kubwa kama UK zimekuwa zikiongozwa na watu wasio na elimu ambayo wewe unadhani ndio kigezo cha kuongoza vizuri. UMEPOTOKA KWELIKWELI.
Uongozi hutawaliwa na HEKIMA na BUSARA na sio Elimu. HEKIMA haina chuo...
Acha kudharau akina mama. Wanaume mmefanya nini cha maana.
Mi nchi mikubwa kama Germany na Brazil Achilia mbali Liberia zinaongozwa na wanawake na hawajaonesha kuteteleka. Wanawake wakipewa wanaweza mradi tu wasiwe wale wa mipasho na wanao endekeza umbeya na mashoga. Maana kuna msemo wanasema...
Leo Alhamisi ndio mwisho wa kuchukua fomu za kuwania Uspika kwa mujibu wa makamba. Tupashane kama jamaa ana guts za kufanya hiyo. Ni vema tukazama kwenye maombi asifanye hivyo. Mungu wa Israel atatusikia tu.
Siasa za mfa maji hizo. Acha kutapata. Ni ndoto za mwendawazimu kuamini kuwa eti Dk. Slaa angeweza kumshinda JK. Huo ni upunguani kwelikweli.
Hivi Unategemea Marando- malaya wa kisiasa aseme nini. Kaivuruga NCCR na kuikimbia huku nyuma NCCRimeanza ku-gain power. Sasa amekwenda Chadema...
japo mm c mthithiem. Bado nastahili kukupa hongera kwa kuleta magaeuzi makubwa ya kisiasa nchini na pia kuwa mwenye uvumilivu, hekma na busara.
Kwa wakati tulio nao you deserve this massive victory. Hongera sana na Mungu akupe hekma na busara katika kuliongoza taifa hili.
Amen
Mbalinga, nataka nikuite uwe mwandishi wa hadithi kwenye gazeti letu. je uko tayari?
Naamini utasaidia sana kuaminisha watu uongo kama ilivyokuwa kwa Musiba na vuitabu vya Willy gamba. Mm wakati mdogo niliamini na nikaamua kufanya kama nilivyosoma ambapo matokeo yake yalikuwa mabaya sana. hapa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.