Kwa jinsi nilivyo na wivi kuna kipindi nilitaka nitafute mdada anizalie walau mtoto mmoja ni nimlipe kisha kila mmoja wetu aendelee na maisha yake maana kwenye maisha yangu hakuna kitu kinacho niuma unamuamini mtu harafu baadaye unaanza kusikia uchafu wake na hata kama ulifanya kabla sija mjua
Wanaccm wanadhani wakiwapa watz barabara nzuri maji na hata dawa hospt ndo wataipenda ccm kumbe sio kweli maana mtu mmoja akitawala kwa muda mrefu anachokwa na watu je si zaidi kwa ccm inayo laumiwa kwa mambo mengi mabaya ktk nchi hii.
Wewe ni mnafiki huna lolote na wala sio mkristo maana ukristo ni kusema ukweli maada umeleta jf tuchangi harafu unataka uniambie kwa kificho maana wote tunataka tumuogope huyo nabii njaa
Mabwawa kama hayo yapo mengi huko mbeya hasa Rungwe mashariki na yanavutia mno mf.Ilamba Itamba na Kengele ni mazuri ila kwasasahivi watu wa hifadhi waliweka mamba kwahiyo wananchi wanaogopa kufanya shughuli zao humo
&cheni uongo majeshi hadi leo wanaajili hata ambao hawajamaliza primary ili mradi umetimiza vigezo mf.wacheza mpira au mafundi wa aina yoyote kama chelehani nk kwa hiyo sidhani mtu wa hospital au mwalimu anaweza kuajili mwenye sifa kama hizo
Na hata umasikini utaendelea kutamalaki licha ya kuwa na rasmali tele hadi tujitambue kuweka watu wenye mawazo mapana sio hawa wachumia tumbo walio tuangusha kwa miaka yote leo wanajifanya malaika
Mkuu hawalijui hilo na hawatakaa walijue maana Mungu amewapiga upofu wasione ila siku ikifika kilio chao hakuna wa kuwapangusa machozi hata watetezi wao hapa Jf watawakimbia
Kuna mtu mmoja humu anawasifia waarabu eti ni watu wakarimu na wameshika dini loh ni nani hapa kwetu anayetamani kufanyia kazi uarabuni badala ya ulaya?yote ni sababu waarabu pengine ndo wanadamu makatili kuli yeyote hapa duniani hata kama wazungu wana udhaifu wao lakini sio kama hawa waarabu
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.