Search results

  1. S

    Unajua kwanini misafara ya viongozi hutanguliwaa na pikipiki?

    Na mtume alisema dunia imekaa kama meza na jua linatoka kwenye matope huyu mtume anajua mengi sijui sababu ya kusoma sana
  2. S

    Kombe la Shirikisho: Medeama yaifunga Yanga 3-1 hatua ya makundi

    Yanga ni timu bora maana kabla ya kufika hapo imezifunga timu ngapi?na kuziacha timu kibao zikiwa watazamaji wa haya mashindano
  3. S

    France church attack: Priest killed in hostage-taking near Rouen

    Ukiyapoke haya madubwana tegemea mauaji ktk nchi yako haya majitu hayasitahili kupewa hifadhi maana yanapenda kuua kama alivyokuwa kiongozi wao
  4. S

    Mzee wa Upako: CCM wanamuogopa Lowassa

    Si ajabu mama alipata mimba nje ya ndoa ila sasa hivi unadai haki kama uko kwa baba halali
  5. S

    Tuwaamini kwa asilimia ngapi wanawake kama mtindo ndio huu?

    Kwa jinsi nilivyo na wivi kuna kipindi nilitaka nitafute mdada anizalie walau mtoto mmoja ni nimlipe kisha kila mmoja wetu aendelee na maisha yake maana kwenye maisha yangu hakuna kitu kinacho niuma unamuamini mtu harafu baadaye unaanza kusikia uchafu wake na hata kama ulifanya kabla sija mjua
  6. S

    CHADEMA yang'ara Morogoro

    Wanaccm wanadhani wakiwapa watz barabara nzuri maji na hata dawa hospt ndo wataipenda ccm kumbe sio kweli maana mtu mmoja akitawala kwa muda mrefu anachokwa na watu je si zaidi kwa ccm inayo laumiwa kwa mambo mengi mabaya ktk nchi hii.
  7. S

    Wasomi waponda hotuba ya Magufuli Dodoma

    Kwaani kujua kwamba wananchi wanahitaji maji au dawa hosp nayo inahitaji ilani?tuache siasa la sivyo tukubali kubaki hapahapa hadi YESU arudi
  8. S

    Niliacha kwenda kanisani miaka 5 baada ya Nabii kumpa mdogo wangu mimba

    Wewe ni mnafiki huna lolote na wala sio mkristo maana ukristo ni kusema ukweli maada umeleta jf tuchangi harafu unataka uniambie kwa kificho maana wote tunataka tumuogope huyo nabii njaa
  9. S

    Niliacha kwenda kanisani miaka 5 baada ya Nabii kumpa mdogo wangu mimba

    Ungetutajia jina la huyo nabii na jina la mdogo wako aliyepewa mimba la sivyo unania ya kuchafua ukristo kumbe wala wewe sio mkristo
  10. S

    CHADEMA yang'ara Morogoro

    Aaaaa mkuu acha ytani ina maana ufisadi uliofanyika ktk nchi hii ni hawa CDM?au ni siasa tu
  11. S

    CHADEMA yang'ara Morogoro

    Mbona kuko kimya sana ina maana wale vijana walishaachana jf?
  12. S

    Hii ndio Historia Kuntu ya Somalia

    Ma hawa ndiyo ndg moja na watusi wala sio waethiopia maana hata roho zao zinafanana
  13. S

    Lake Ngozi (Ziwa Ngozi) na simulizi za ajabu

    Mabwawa kama hayo yapo mengi huko mbeya hasa Rungwe mashariki na yanavutia mno mf.Ilamba Itamba na Kengele ni mazuri ila kwasasahivi watu wa hifadhi waliweka mamba kwahiyo wananchi wanaogopa kufanya shughuli zao humo
  14. S

    Vyeti vyatikisa nchi.Waliopotelewa wajisalimisha NECTA, * NSSF yagoma kulipa ambao hawajawasilisha

    &cheni uongo majeshi hadi leo wanaajili hata ambao hawajamaliza primary ili mradi umetimiza vigezo mf.wacheza mpira au mafundi wa aina yoyote kama chelehani nk kwa hiyo sidhani mtu wa hospital au mwalimu anaweza kuajili mwenye sifa kama hizo
  15. S

    Wanachotaka ni wao wasikike lakini sio wapinzani

    Na hata umasikini utaendelea kutamalaki licha ya kuwa na rasmali tele hadi tujitambue kuweka watu wenye mawazo mapana sio hawa wachumia tumbo walio tuangusha kwa miaka yote leo wanajifanya malaika
  16. S

    Matumizi mabaya ya kodi, TBC taarifa ya habari ni CCM tu

    Basi hata kulipa kodi wangeangalia uchama kuliko kuwalipsha hata wasio na vyama
  17. S

    Watoto Wanne wa Mwenyekiti wa Chama Jakaya Kikwete

    Mkuu hawalijui hilo na hawatakaa walijue maana Mungu amewapiga upofu wasione ila siku ikifika kilio chao hakuna wa kuwapangusa machozi hata watetezi wao hapa Jf watawakimbia
  18. S

    Magufuli: Ningefukuza nusu ya wote ndani ya siku moja kama wangeniimbia eti wana imani na mtu fulani

    Taifa litatusaidia nini sisi kwetu ccm kwanza taifa baadaye
  19. S

    Faida za kumkumbatia mumeo/mkeo

    Ktk faida ulizozitaja vipi kuhusu mchepuko nao unasaidia?
  20. S

    Sema chochote kuhusu Middle East

    Kuna mtu mmoja humu anawasifia waarabu eti ni watu wakarimu na wameshika dini loh ni nani hapa kwetu anayetamani kufanyia kazi uarabuni badala ya ulaya?yote ni sababu waarabu pengine ndo wanadamu makatili kuli yeyote hapa duniani hata kama wazungu wana udhaifu wao lakini sio kama hawa waarabu
Back
Top Bottom