Kama siyo democrasia ya vyama vingi je tungeyafahamu haya ?.mapambano yao ni faida ya wananchi wanyonge basi uamuzi ni wetu sisi wakubwa zao tarehe 25/09/2015 .
Mimi nionavyo kama ukawa watashindwa kuelewana wajue kwamba ni mbinu chafu cha ibilisi kuwagawa ili wezi waliotusumbua miaka mingi waendelee kutawala;kama ilivyo ada ya waingereza ya divide and rule:wagawe uwatawale milele !ambacho ni kitu kibaya saana.hata mwenyezi mungu alitumia mbinu hiyohiyo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.