Ushahidi upo, nakuunga mkono mtoa mada. Vyombo vya habari vili ripoti hizi janja za hawa wanaong'ang'ania madaraka. kwa hili halina ubishi, na evdence zipo za kutosha, watu wamekamatwa. Kwa mtu yeyote asie na mtindio wa ubongo haihitaji kuwa degree holder kutambua huu mchezo.
Kwa taarifa za awali nilizopata, sina figure kamili lakini ni kwamba mgombea wa CUF anaongoza kwa kiasi kikubwa, kuna uwezekano mkubwa CCM wakapoteza jimbo
Guys, wizi wa kura utafanywa kwa njia ya mtandao, this is very possible, ukiangalia kwa makini utatambua ya kuwa hizi website zote zimekuwa hosted katika server moja, how comes server inayo host NEC ina host jkikwete2010.com, Hapa kuna conflicting interests.... ping all the above sites eg ping...
Binti Maringo, kwa hili unachemka sana, you have to think critically before presenting your ideas, its better to be dead with living ideas than being alive with dead ideas..... You have to understand we are not bogus enough to swallow ur ideas....We are looking for some one who gonna pull us out...
Ukiona jengo lililogharim M500.....full usanii, lets vote for change, we are the change we have been waiting for, lets work up n uproot the SISIEM gang....wadau nipandishe picha za ofisi ya spika? This is more than ufisadi.
Kwa Mtanzania yeyote mwenye akili timamu, mwenye macho na masikio yanayofanya kazi atajiuliza kitu kimoja tu, Je kwa kipindi cha miaka mitano iliyopita 2005-2010 serikali imefanya jambo gani ambalo ni visible as far as development is concerned?
Katika sekta ya elimu, wakati mwl Nyerere...
kwa uelewa wangu mdogo, ninaamini unapozungumzia maendeleo kwa nchi kama TZ, wananchi wanahitaji yafuatayo:-
Elimu Bora.
Miundombinu mfano barabara.
Afya bora, ujenzi wa vituo vya afya katika sehemu husika
Ajira, kutengeneza nafasi za ajira hasa kwa vijana na akina mama
Huduma ya maji safi na...
kwa uelewa wangu mdogo, ninaamini unapozungumzia maendeleo kwa nchi kama TZ, wananchi wanahitaji yafuatayo:-
Elimu Bora.
Miundombinu mfano barabara.
Afya bora, ujenzi wa vituo vya afya katika sehemu husika
Ajira, kutengeneza nafasi za ajira hasa kwa vijana na akina mama
Huduma ya maji safi na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.