Utafiti wa Urais uliochapishwa na gazeti la Rai linalomilikiwa na Rostam Azizi unaoonesha Lowassa anaongoza kwa 52% akifuatiwa na Dr Slaa na January Makamba umetajwa kuwa ni kiinimacho na hadaa kwa watanzania, imebainika.
Utafiti huu uliokataliwa na wahariri wa magazeti karibu yote...
Vijana wapo mnadani wamemfanya lowwasa mnada wanamnadi mtu mwizi wanalazimisha kila kitu mpaka utafiti wanafoji kweli hawa jamaa kiboko kisa ikulu mpelekeni mzee wenu mwaisela akatibiwe na si magogoni pahala patakatifu.
Chenge mzee wa vijisenti tunamjua na ufisadi wake yeye na rafiki yake Lowassa hawa waki8ngia wataimaliza tanzania duh kumbe kafuta hadi kwenye escrow itakuwa pesa ya lowassa hiyo
Salaam, kumekua na maneno mengi ya upotoshwaji kipindi hiki dhidi ya Mh. Pinda,yote yanatokana na hofu ya Lowassa na watu wake, Baraza kuu la umoja wa vijana halijajadili wala kuongelea swala la unaibu kamanda na wala halijafikishwa kwenye baraza kuu la vijana ni upotoshaji na uoga wa watu wa...
KAMPUNI ya Active Finance imedhamini ligi ya kumbukumbu ya aliyekuwa mbunge wa Jimbo la Mpanda Kati, Mzee Philip Mbogo, kwa kutoa seti za jezi na mipira zenye thamani ya Sh milioni 4,500,000.
Akizungumza Dar es Salaam jana wakati akikabidhi jezi na mipira hiyo kwa Mwenyekiti wa Umoja wa Vijana...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.