Search results

  1. Mnama

    Kwa kuangalia uchangiaji wa mada nimegundua watumiaji wengi wa JF hutumia device za maofisini mwao

    Kuanzia ijumaa jioni, jmosi mpaka j2 tuko busy Bar tunakunywa na kuangalia game mbali mbali huo muda wa kuchangia tunaoutoa wapi ?:D
  2. Mnama

    Ushauri: Rais Samia naomba umfukuze kazi Mkurugenzi Mkuu wa TBS mara moja

    Unampangia mwenye hela yake akanunue wapi kama vipi serikali yenu itoe hela iwape wakulima wapeleke mchele mashuleni. Ibaneneni serekali yenu full stop.
  3. Mnama

    Ushauri: Rais Samia naomba umfukuze kazi Mkurugenzi Mkuu wa TBS mara moja

    Wabongo kwa kualamika hatujambo sasa kama michele iko mingi si serikali inunue ikalishe hizo shule zilizo fadiliwa na Marekani. Tunapoteza muda kupiga kelele zisizokuwa na maana badala ya kuikaba serikali itimize wajibu wake. Jukumu la kulisha hao wanafunzi ni la Serikali sasa kama imeshindwa...
  4. Mnama

    Maswali kwa CDF Mstaafu, Venance Mabeyo

    Kila mtu atakufa ila kusema mtoto wa Mabeyo kufa ni karma hapo ni uchuro havina uhusiano wowote (Misplaced karma) kama Babake amefanya makosa hiyo karma impate Mabeyo mwenyewe.
  5. Mnama

    Jirani yangu anajenga ghorofa, ananipa mawazo sana

    We endelea kupanda maharage acha kusumbua jirani........
  6. Mnama

    TANZIA Pumzika kwa amani Sanctus Mtsimbe

    Apumzike kwa amani
  7. Mnama

    Mpangaji mwenzangu amehama kisa shughuli zangu za kiuchumi zinamkera

    Acha kucheza na moto......
  8. Mnama

    Dodoma City vs Arusha City (The Battle of Tanzania Capital City vs EAC Capital City)

    Hila la makusanyo ya TRA kuna uhuni umefanyika wale walipa kodi wote wakubwa wa Mikoani wanalipishwa kodi Dar ilala kwenye kitengo cha Large Tax payers hivyo kupoka mikoa mingi mapato makubwa. refer Billionea Mushobozi Babati.
  9. Mnama

    Ni ubadhilifu mkubwa DART kutoa smart card mpya za mwendokasi

    Watapata namba ya simu wakinda kwenye mfumo then waanzie hapo maana wakati wa kupewa ndio wanachouliza.
  10. Mnama

    Kumbe kuna salamu maalumu ukikutana na mtu usiku mzito? Usiku wa leo mbio ndiyo zimeniokoa

    Ngoja nije nikutoe hapo hm usingoje kufukuzwa :D ;)
  11. Mnama

    Hukumu ya kesi ya ndoa inakaribia kusomwa, anataka tugawane mali wakati alinikuta nimesimama. Sitaki hilo litokee, nachanganyikiwa

    Unachotakiwa ni kuthibitisha hizo mali alizokukuta nazo ulizipata kabla hujamuoa ili zisiwe sehemu ya mgao.
  12. Mnama

    Maisha yangu nimeyaharibu mwenyewe

    Niweke kituo hapa....
Back
Top Bottom