Magu alivuraga uchumi sana na madhara yake mpaka sasa hayajaisha kuna watu mpaka leo wanaficha hela ndani badala ya kupeleke Benki hawana imani na mfumo. Kuna mazuri alifanya ila mabaya yake tunayakumbuka zaidi maana kuna watu wasio na hatia waliumizwa na matendo yake.
Kweli aliyeshiba hamjui mwenye njaa yeye hapo anakunja 18m kila mwezi na bado baada ya miaka mitano ana 250m inamsubiri halafu anakuambia baada ya utumishi wa miaka 30 ya kulipwa mshahara wa 1m upewe 40m ni sawa tu.
Kama alikuwa hapeleki michango ni jukumu la NSSF kumfungulia kesi na kukamata mali zake ili wewe na wengine weweze kulipwa. Ni kosa la NSSF walitakiwa kukagua na kufuatilia michango ila hawatakiri ila wabane wapambane nae wakusaidie kuapata hela zako nshoana kesi tatu za hivi na hela jamaa...
We ndio huna unachojua kabisa. Hakuna hela inayopita mkononi kwa mtu muda mrefu sana sio Tra wala Bandari zote zinalipwa kwa control number benki. Dpw wanakuja kuendesha bandari tena hiyo Dar tu sio kuja kuwa TRA.
Ila demu ni mshenzi na ana roho ngumu anawezaje kuliwa usiku kucha halafu tena mchana kutwa na lijamaa lingine tena kwenye chumba kile kile alicholipia mwamba.
Makontena kupita bandarini bure ni issue ya TRA wao ndio wanajukumu la kukadiria na kukusanya kodi wala sio bandari msitake kudanganya watu. TRA ndio wanatoa release ya mizigo so kama ni deal zitandelea kuwepo tu maana DP world hahusiki kwenye swala la kukusanya ya kodi yeye ataendelea kutukamua...
Kuna watu mapunguani kweli ukianza na mwanzilishi wa uzi, hao unaowatukana ndio wamekuwezesha hata kuandika hizi sentensi kwenye huu uzi na kukutoa ujinga kichwani kwako. Shida ni serikali imewatelekeza kuliko kada zingine na hawana wa kuwatetea chama chao ni ziro kabisa.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.