1. Hilo la Katiba limekaa vibaya kwa sababu njia pekee ambayo Wasaliti wetu watamshangilia ni kushindwa CCM. Njia pekee kumridhisha mtu kama Maria Sarungi ni kuona Rais wa upinzani sijui mbowe sijui tundulissu. It is tails you lose, heads I win.
2. La pili kuhusu Makonda ana known abilities...
Kuna tofauti hapa. Tundu Lissu mwenyewe kakiri kuwa msaliti. Alimsikia Magufuli akiwauliza Wanajeshi kuwa wakati mko vitani huwa mnamfanyeje msaliti anayevujisha siri zenu kwa adui? Wakasema they don't deserve to survive, ambayo inaeleweka. Ila (kwa sasa) kwani kuna mtu kasema ole Sendeka anampa...
Nani alikwambia? Tulichosikia sisi ni kuwa Gati 3 za Dar ni mwanzo tu lakini Tanzania ilitaka kuboresha Mtwara na Nansio, itabidi wawaambie DPW ili nao waweze kushitiko kwenye maombi ya kuziendeleza.
Usisahau kumwulizabkwa nini hawajateua Wabunge 19 mbadala? Wapo, na orodhabiponilipitishwa na Kamati Kuu. Sasa wanaifichabkwa vilenilijaa Ndugu zake mbowe kutoka Moshi na wake wa viongozi wa KK wakiwamo walioshinda na walioshindwa kinyang'anyiro kumpata mgombea tindulissu wa 2020 na mabinti wa...
Bwana Paskali Mayala (Magufulu alikuita Njaa) mwenye tatizo ni wewe siyo Rais. Hukumu ya Mahakama ya Rufaa huwezi ukaiita ni ubatili labda uwe na njaa kikwelikweli. Mgombea binafsi inaonekana ni kitu kizuri lakini ni lazima pawe na masharti. Mabilionea wa CHADEMA au Mo au Bill Gates au "Sauti...
Ulifundishwa wapi, tuition? Walikudanganya. Ulaya walianza na Namba ya 7 waliyoipata Dark Continent na India. Wakati huo Waarabu walikuwa na Vyuo Vikuu vilivyotukuka. Unauliza mali ghafi ya Tanzania, yaani hujui? Tuna maji Ziwa Tanganyika na Mlima Kilimanjaro na almasi za Mwadui. Na korosho, na...
Wewe bwana anza kwa kutoa declaration of interest kuwa mlipeleka maendeleo sehemu moja kwingine kukasahaulika. Inakuuma kujikuta walioachwa nyuma sasa nao wamepata mtetezi.
Uuuuwiiiii: kuna tenda hapa kwa wanasheria nguli. Waliopinga bombardier wakawapa maadui, na wale waliompinga Rais wakisema professorial rubbish, walisema hizi ni kazi za kimataifa MIGA na Swiss Accords. Walaomba tulaaniwe tususiwe ba mataifa kwa kudai haki zetu. Sasa nendeni VODACOM muwatetee...
Waraka "wa Pasaka" ulitangazwa kwanza na Lema siku 17 kabla ya Pasaka. Ulisheheni yale yale ya CHADEMA - maandamano yasiyo kikomo, katiba ya Warioba - within 24 hours baada ya Mbowe kutoa waraka mtandaoni for the first and only time in his life, kawaida hutolea Ufipa Street.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.