Raisi wa Marekani Hutumia simu ambayo haiko connected na Internet, Yani haiwezi peruzi Mtandaoni, Kiuhalisia electronics Device almost nyingi sio safe Usa hupandikiza Chip humu wakati wa manufacturer Kwa kuangalia tu kifaa hiki kitatumiwa na nani na tunapaswa kujua anafanya na Kuishi vipi...
Mkuu its possible ni kitu simple sana kwanza lazima uwe na Camera aina ya IP Hio iko built-in in na Transimitter pili uwe na NVR Network Video Record tatu ni Router japo sio muhimu ivo baada ya hapo tafuta Universal Setup au Setup specific ya hio camera na ifanyie configuration ukimaliza...
Sasa akili ya J ulimwengu umeipimaje asee? Unaweza kutuambia Intelligence Quetient ni ngapi? Hvi watu wanaweza kukuvua uraia from no where tu mbona upinzani hawavuliwa? Kama umzawa huna haja ya kujieleza Sana Eti kuonesha uzawa wa eneo fulani, Ulimwengu sio mtanzania hutaki andamana
Wakuu nilikuwa na Reset Pc yangu ina wondow 10 sasa nilikuwa na Reset yani ifute data zote ianze upya process imeenda fresh mpaka ikajaa asilimia 100 ikaanza kuinstal window sasa hapo Sikujua kama Charge inakaribia kuishi unfortunately chaji ikakata na process ika stop nika Plug Kwenye power...
Wewe bna ivi unamjua Nyalandu? Unajua kitu anayo tafuna? Unamfahamu Aliekuwa mbuge wa njombe Marehemu Philip njombe, Mtafute uyo bibie alie achwa mjane ndo utajua hapo kwa Lema ni kawaida sana
Wasi wasi ni Akili Boss, Harafu haya mambo ya kusema katuzidi Elimu wewe una uhakika gani nayo Au unatakwimu za Member wote humu juu ya Level yao ya Elimu? Huyo jamaa ni Tsu lazima tuwe care nae tu mana tabia zao tunazijua Visasi visivyo na Ukomo, Hatumbagui ila hatuwezi kusema Tumpe Uhuru Full no
Mkuu wewe mbona unaleta porojo tu, Usicheze kabisa na Usalama Kuna watu wanaitwa striper Agents ni Hatari sana kwa Long term security hawa utakaa nae utaishi nae na ata behave Full kama mko wote kumbe anatafuta njia ya kupenya tu ikulu, Jiulize huyo jamaa alifikaje Ikulu mana amewah fanya kazi apo.
Mlimani Siasa inakizika kabisa, Uganda wana hazina kubwa kupitia Makerere University wameamua haswa kuweka Siasa pembeni ktk hicho chuo na kusimamia swala la academic effectively ,Uon kinafata
Dokta hawezi fanya chochote bila mhandisi yani Labda mganga wa Jadi ndio anae eza asimtegemee engineer ila hawa Modern doctors huhitaji Engineering field 99℅ kufanikisha shughuli zao kuna kitu kinaitwa Automation dokta yuko marekani na anakufanyia operation ww mgongwa upo Tanzania through...
Mkuu Arusha ni kubwa sana Sema uko pande zipi mimi pia nina nia ya kujifunza Programming nilianza ila nkaishia njiani kutokana na Majukumu Kunitinga ila bado passion ya coding ninayo
Mkuu Watts katika AC au DC power source? Ok nianzie katika DC ukichukua Voltage na Current ukazidisha utapata Power in term of Watts, Katika AC watts hio tunaita True au active power kuipata lazima uconsider Power factor ya system Utachukua PF UTAZIDISHA NA PRODUCT YA CURRENT NA VOLTAGE...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.