Search results

  1. A

    Kutoka Karimjee Hall: Mjadala juu ya Tamko la Uongozi wa Waislamu Jan 15, 2010

    Sawa kabsa. hawa wametumwa na serikali na wameandikiwa hiyo taarifa, na wao wamesoma tu. Nyerere alisema ukiona mtu anajificha kwenye banda la udini, uje amefilisika kisiasa!!!! Need I say more?
  2. A

    Membe to sue Mwananchi & Tanzania Daima?

    Hakuna cha kesi hapa maana atashindwa tu kwa sababu hawezi kabsa kufuta ushahidi wote uliopo. Wala hawazi kufunga Mwananchi ama Citizen maana ni magazeti ya The Aga Khan. Hivyo kwa kuwa anaunganisha na Daima, Sauti ya Watu hapo, haliwezi kufungiwa peke yake. Kama mlivyosema wengi, hii ni...
  3. A

    Sabodo atoa rambirambi kwa Wahanga.

    Well said!!
  4. A

    Nchi ipi ilimpongeza Kikwete kwa ushindi!

    Hilo la USA nallikumbuka sana. Obama said: " I congratulate the people of tanzania for a peaceful election and i am looking forward to working with your President..." He did NOT congratulate JK. You may google his message. Hata UK PM did not send a message.
  5. A

    Mh. Samweli Sitta: Waziri wa Afrika Mashariki Ameiasi Serikali ya CCM?

    Tatizo kubwa lililopo Serikalini na CCM ni kuwa kuna ombwe (Vacuum) kubwa katika uongozi wa juu. Hivyo wanachama ama mawaziri wameliona hilo, kwa hivyo kila mmoja wao yuko huru kufanya kivyakevyake akijua hakuna litakalomtokea. Wengine wanatafuta umaarufu wa papo kwa papo. Cheap politics!
  6. A

    Serikali yataka kumaliza tofauti za kisiasa Arusha kwa mazungumzo

    Walikuwa wanawabp CHADEMA siyo? Sasa nani kaaibika, CHADEMA ama Serikali? Nani kajijengea heshima zaidi, JK au Dr?
  7. A

    Kauli ya Zitto kuhusu yaliyotokea Arusha

    Good question!!!
  8. A

    Matokeo ya Urais 2010 bado ni siri ya NEC!!

    Matokeo rasmi ya uchaguzi mkuu wa 2010 (ya Rais) bado hajaainishwa na NEC katika tuvuti yao miezi miwili tangu uchaguzi uishe. Sababu? Mara mtandao wa computer hauna uwezo, mara sikuku hizi, mara wako likozoni, mara...nk Huko Malawi iliwachukua siku 9 tu kuweka mambo yote wazi kwa kila mtu...
  9. A

    Maandamano ya CHADEMA Arusha: Mabomu yarindima, raia wauawa na viongozi wakamatwa

    Naona mnawapa sana ujiko akina Kishongo, Charityboy, Mwiba na Mtu na Pwani kwa kuwajibujibu utombo wao. Wapuuzeni tuu ndo dawa yao!
  10. A

    Maandamano ya CHADEMA Arusha: Mabomu yarindima, raia wauawa na viongozi wakamatwa

    Unauliza majibu? Wameamriwa na JK kuvunja hayo maandamano maana ile shubira aliyopata 2010 ktk uchaguzi na kule Bungeni inamwuma sana tu!
  11. A

    Maandamano ya CHADEMA Arusha: Mabomu yarindima, raia wauawa na viongozi wakamatwa

    Nimempigia rafiki yangu Arusha: Ni mabomu matupu mji mzima na vijana wa Chadema nao wame kaa kingangari!
  12. A

    Dr.Slaa sasa amtaka Kikwete ajiuzulu kuhusiana na sakata la DOWANS

    Thanks for this advance news! Dr Slaa is the unsung hero of Tanzania. One day we will owe it to him when we get out of the woods whether he is around or not. Remember that Tanzanians still remember what the Iraqw people showed to the rest of Tanganyikans when they rejected TWICE TANU's choice of...
  13. A

    DOWANS (BEHIND THE SHADOWS): What you were not supposed to know...!

    No! You need to fill it with sand instead for it to sink. If you pump out all the air, the container will just float away happily, but they may actually die for lack of good air.
  14. A

    Mhariri aliyesema DR. SLAA WILL NEVER BE A PRESIDENT yuko katika msukosuko!

    Sawa, sasa kama Dr Slaa siyo raisi wa tano wa TZ, sasa inakuwaje JK anatekeleza sera za Chadema? (Mifano: UDOM, Elimu bure mpaka FIV (CDM walisema FVI), Katiba Mpya nk?)
  15. A

    More from WikiLeaks: Tanzania and the Fight to Stop Airbus Sale

    Not only is JK the problem, CCM is the problem and only the New Costitution that we are crying for would resolve all this!
  16. A

    ZITTO KABWE vs JULIUS MTATIRO

    Tumechoka na kukinai mambo ya Zito kila kukicha humu JF!
  17. A

    Uchakachuaji wa kura za raisi ulianza tangu mwaka wa 1995 na Nyerere aliubariki!

    Sote tunakumbuka jinsi Maalin Seif alivyoshinda Zanzibar na Lyatonga alivyoshinda Dar lakini kwa ruksa ya Nyerere Serikali ya Mzee Mwinji ilichakachua matokeo. Pia Majaji makini walirule ya kuwa matokeo ya raisi yawe challenged mahakamani lakini serikali ikapeleka mswada harakaharaka bungeni na...
  18. A

    waliomo kwenye Tume ya Katiba mpya

    ....and thier pwan you might add!
Back
Top Bottom