Search results

  1. N

    Yanayojiri Bungeni Dodoma: Jumatano, Tarehe 12 Machi 2014 - Uchaguzi wa Mwenyekiti wa Bunge Maalum

    everlenk, ikitokea hivyo tutapendekeza kura ya wazi kufikia mwafaka, hiyo ndo itatuvusha .
  2. N

    Mrema: Kura ya siri ni unafiki

    ile ya ubunge ; ya uenyekiti wa TLP hiyo sijui maana sijawahi kusoma maelekezo ya katiba ya TLP kuhusu uchaguzi wa viongozi wake
  3. N

    Mrema: Kura ya siri ni unafiki

    Ringo Edmund, isiishie kwenye maoni tu , bali iwe ndo mwongozo wa kikatiba kwa chaguzi zote zitakazofuata baada ya katiba mpya kuanza kutumika
  4. N

    Mrema: Kura ya siri ni unafiki

    SaidSabke, Kwa mtazamo huo waweke kipengele kwenye katiba kuelekeza mambo yote yenye kugusa mstakabali wa nchi yaamuliwe kwa kura za wazi ( mf. uchaguzi wa Rais na wabunge) ili wananchi waone wazi kinachoendelea.
  5. N

    Mrema: Kura ya siri ni unafiki

    Alichaguliwa kwa kura ya unafiki.
  6. N

    wala hawana wasiwasi

    Labda atokee Katibu mkuu wa chamaa utaona kwa heshima na taadhima wanatokomea mmoja mmoja kwenda kusikojulikana
  7. N

    Mkuu wa mkoa wa Arusha afukuzwa soko kuu la Arusha kwa nyanya

    Kwa mwendo huu tutashuhudia siku moja anatupiwa mayayi mabovu
  8. N

    Utatu wenye utata: Umri, Pesa na Mapenzi

    Hapa ndo tatizo linapoanzia, kama freq. ikizidi ( i.e. kila mkikutana unataka ya Pedi ?? etc ) kwa nini asianze ku sense tatizo ... Hayo ni mawazo yangu
  9. N

    Hakuna wanyama waliotoroshwa

    Nami naunga mkono hawakutoroshwa bali wahusika walikuwa na baraka zote za mamlaka zinazohusika, ndo maana hata KIA waliweza kuondoka bila tatizo -
  10. N

    JF EXCLUSIVE: DOWANS vs TANESCO, the saga continues!

    Kakalende, Matapeli wakati wote huwa wanaangalia upepo unavyoenda nakuhakikisha wamejiweka usawa wa kutopoteza walicho ki target , hii ni pamoja na kutumia vifungu vya sheria kuweka sawa mambo ili yawe kisheria zaidi kuliko kitapeli.
  11. N

    Wabunge kuuziwa nyumba wakijadili bajeti ya nyumba/ardhi, hongo?

    MJ usishangae huo ndo mfumo wenyewe na unabaraka zote za angalau 2/3 kama siyo 3/3 ya mihimili unayoijua.
  12. N

    Kikwete yupo nchini?

    Anashughulikia matatizo ya somalia ili meli za mafuta zipite salama kwenye gulf ya Aden . Haya madogo madogo ametuma watendaji wake wayashughulikie taarifa ya utekelezaji atapelekewa
  13. N

    Kasheshe la Mafuta: Dar kimeanza kuwaka, vituo kadhaa vyaanza kutoa mafuta!

    Livinga, heri mi TZ iteseke lakini midege iruke maana isiporuka ratiba za ziara ya mwenye nyumba zitaharibika ambazo zina faidi kubwa kwa nchi ( am not sure kama ni kwa walala hoi)
  14. N

    Kasheshe la Mafuta: Dar kimeanza kuwaka, vituo kadhaa vyaanza kutoa mafuta!

    Madcheda, Hujui kama maandamano yanayoitishwa na chadema yalisababisha viongozi waseme cdm wanataka nchi isitawalike na kwa sasa nia ya kurekebisha sheria ya maandamano imewekwa wazi kwa mwanvuli wa kuwasaidia wanachi waeze kufanya shughuli zao bila bughudha. However, hiyo nia ya watawala...
  15. N

    Bungeni: Mjadala wa dharura juu ya mgomo wa wauza mafuta

    Hapo utasababisha awe anashinda magogoni ( Mahoteli yatapata hasara huko nje)
  16. N

    Bungeni: Mjadala wa dharura juu ya mgomo wa wauza mafuta

    Soko huria la afuta TZ haliwezi kufanya kazi maana upande mmoja bei zikpanda kwenye soko wanakonunulia wauzaji wetu wanapandisha siku hiyo hiyo bila kujali hayo wanayouza kama yalikuja kwa bei ya kabla ya kupanda . Upand mwingine bei ya huko sokoni ikianguka wafanyabiashara wetu hushikiria...
  17. N

    Hisa za NMB kupitita NICOL na TCCIA

    Hisa za NMB ziliuzwa kwenye IPO na wananchi walichukua kulingana na kilichopatikana kwa mtindo wa wazi . Hizo za nicol na tccia zilikuwa kabla ya IPO ya NMB ambapo makada kadhaa wa chama walitumika kupiga debe wananchi wachukue hisa hizo kwa mategemeo ya kuwekezwa kwenye NMB mara ubnafsishaji...
  18. N

    Tulichambue Baraza la mawaziri la JK... Hili hapa toa maoni....

    Mkuu MJ, kwa uchambuzi wako na hitimisho lake vinavyoendana kweli nakubali unamfahamu vyema huyu waziri. endelea kutujuvya zaidi
  19. N

    Nape vs Lowassa

    Nionavyo mimi kutokana na analysis yake ni kuwa chama kimeshika hatamu hivyo maamuzi ya NEC yakiwa kinyume cha matakwa ya EL atakuwa amemalizika kisiasa ndani ya sisem labda atafute route mpya tha's NEC ina mamlaka ya kumvua mpaka uanachama .
  20. N

    Nimfanyaje huyu house girl wangu

    MR, kweli huyu ndugu ni wazi hili alikuwa amelidhamiria siku nyingi ila alishindwa jinsi ya kulianzisha akayatwika ili ionekane si yeye bali ni kile kinywaji alichokunywa kwa kuzidisha...
Back
Top Bottom