Baba wale jamaa saba wa upinzani majembe hawataki kuburuzwa kama wanavyo buruzwa wabunge wa ccm na serikali yao unakuta kitu kipo wazi lakini wabunge wa ccm wanatetea mwisho wao utafika tu hatakama wachukue inchi uchaguzi huu lakini cha mtema kuni wataendelea kukiona hadi upinzani watakuja...
Ndug, yangu sie wanainchi ndo tunaing'ang'ania ccm yani hawa jamaa wameoza hakuna kitu dubadilike watanzania tumelala mno, sijui hata si ni watu gani duuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuu.
Unapo mpata wa kubadilishana nae silazima uende anapo toka, na kwann hamtaki kwenda vijijin? jamani angalia ukaribu na kwenu pindi unapo pata tatizo aidha la kifamilia au lingine unakua karibu na kwenu na kuepuka garama, njooni Musoma nyie ambao ni kwenu hata kama ni kijjn piga 0763360002.
Mi nimesoma degree ya Archaeology lakini nina kampuni ya Research inaitwa Peak of Knowledge Research and Consultancy (T) Ltd, ambayo inatoa yafuatayo Workshop and Trsining in Research Proposal Write-up, Data Entry and analysis via Excel and SPSS na mengine mengi sasa huoni nimejiari piga...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.