Kwa Vile Urusi ana maadui wengi na wakubwa kwa sasa naamini watafanya uchunguzi kwa kina nani tupo nyuma ya huo mango kabla hao magaidi hawajapelekwa kwa Sir God.
Shukrani kwa Elimu nzuri,swali langu kuna baadhi wanapozaliwa wanapewa majina lakin ikifika umri wa kwenda shule wanabadili majina ndo hayo wanayatumia pengine maisha yote na kuacha kabsa lile la utotoni.Je hiyo inaathiri vipi nyota kwa upande wa jina?
Aisee kuhusu hii maada ya chumvi, nilikuwa najiuliza inawezekanaje,basi kuna dada ni rafiki yangu tunashare status WhatsApp siku hizi naona unapost watu wakitoa feedback juu ya matokeo ya kutumia chumvi nikawa sielewi na kumuuliza siwezi.Leo nimepata majibu.
Kumbe ameijua hii siri anawasaidia...
Tafuta photoshop mkuu,kwanzia cc2015 lakin nakushauri ukipata cc 2019 ni njema zaidi halafu jinsi ya kuitumia unaweza mtafuta mtu mwenye uzoefu au uanze kukesha na tutorial youtube,kila la kheri
Mkuu hii kitu mimi pia huwa inanifikirisha,unajua ilimradi ukiwa hai lazma uhangaike hapa duniani,ndo maana mimi huwa nasema tunawajibikia uhai,huwa nashangaaa wanaposema uhai tumepewa bure hakuna cha bure ,ndo maana mtu akifa japo hatujui anakoenda ila huwa tunasema amejikomboa na shida za...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.