This is one of the good articles I ever read at JF.. in short, it seems that citizens are lazy for they can't produce enough for their consumption and surplus to earn income for development projects. This can be equally applied to a personal/household level. Normally lazy families fail to meet...
Sahihi kabisa. Watz wengi wana upeo finyu sana wa kufikiri na maccm yanatumia fursa hiyo kufanya yanavyo taka .
Hii ni hatari sana kwa mustakabal wa nchi..
Hapa ndo utafahamu ukomo wa kiakili wa watu wanaotuongoza. Kimsingi, hizi ngojera zote ni kutengeneza mazingira ili hizo mali asili zichukuliwe na wageni.. na hatimaye, itabaki kuwa historia kuwa Tz kulikuwapo na mali ile na ile..
Dhahabu za kanda ya ziwa ndo zinaelekea ukingoni.. jiulize ni...
Asante sana mwamba.. ni dhahiri kabisa jamii iliyopewa blackbox education hata ku reason huwa ni kwa shida sana.. saa nyingine wajumbe wanaweza kuwa hawakuelewa mada inaongelea nini..
Hahaaa..
Jioneeni wenyewe jinsi Tz ilivyokuwa na itakavyokuwa shamba la bibi..
Taifa la mazombie.. makubaliano yanatiwa saini na waziri badala ya mwanasheria mkuu wa serikali
Tatizo viongozi na wananchi wa Tanzania wana attitude kama changudoa.. kuogopa kuvuja jasho.. maneno kibao, action zero..
Yaani full kujilegeza..
Vinginevyo hakuna sababu ya nchi yoyote kuisaidia Tanzania..
Nafikiri mfumo wa kikoloni wa kucharaza bakola watu wazembe ulikuwa mzuri.. tungekuwa...
Wakuu GT.. nawasalimia sana.
Niende moja kwa moja kwenye mada.
1. Utangulizi
Hapana shaka kuwa kiwango cha maendeleo ya nchi au bara hutegemea ubora wa raslimali watu katika nchi/bara husika. Ubora huu wa raslimali watu ndo hutofautisha nchi na nchi, bara na bara katika maendeleo ya kiuchumi...
Naanza kuwa na mashaka sana na wewe..
Serikali za mitaa unazoongelea hapa ni institutions za kipuuzi sana hapa Tanzania. Hazina uwezo wowote na hazitofautiani na zile za wakati wa ukoloni. Kimsingi serikali ndo inataka iwe hivyo.. kazi yake ni unyampala dhidi ya wananchi.. hakuna aliyezichagua...
Shida ilikuwa ya maccm. Kimsingi ile rasimu ya Warioba ilikuwa njema sana.. shida ni kwamba ilihatarisha maslahi ya genge la wahalifu eachache liitwalo ccm. Baasi. Leo hii tungekuwa mbali sana
Asante ndugu Mkandara..
Mosi: tufahamu kuwa nchi yetu haina maendeleo kutokana na kukosa falsafa sahihi ya uongozi au kukosa uongozi kabisa.
Pili: Hoja yangu iko kwenye MUUNDO WA SERIKALI.
Muundo uliopo una mapungufu makubwa sana. Ni muundo usio tofauti na wa kikoloni ambapo muundo huo...
Asante ndugu yangu.. Fisiem na ngonjera zao za sekta binafsi ni machozi ya mamba.. roho mbaya dhidi ya sekta binafsi ni dhahiri sana.. fisiem huwa haiheshimu jasho binafsi.. na wala haiwezi kulinda mafanikio binafsi.
Mosi, kumbuka mwaka 1967 (japo officially fisiem haikuwepo ila waliokuja kuwa...
Serikali ya fisiem imejaa roho mbaya, wivu na chuki .. in fact private sector inayozungumziwa ni ka kundi ka wafadhili wa fisiem.. kanaishi kwenye comfort zone.. hakako tayari kuona strong private sector ambayo ina ushindani wa kutosha. Kukiwa na
Private sector yenye ukwasi maana yake fisiem...
In fact.. Mwendazake was clueless.. didn't even know what was in the store for Tz as he acted an osteich way besides all the noises everywhere.. Time doesn't forget anything.. we are seeing how madness can ruin the country. Tz is still on the crash course because those white elephant projects...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.