Pasco kwa mtu makini kama wewe(kwa kadi right ya maadili yako), ulipaswa kujua hilo toka mwezi wa Tano. Mie nimesikia hilo mwezi wa saba. Hakuna namna mkuu, Lowassa ni sheeder kwa ccm.
Ni msemo wa Aristotle yule wa kale, kuwa 'Binadamu ni mnyama mwenye hulka ya kupenda siasa'-Sababu ya msemo huu ipo wazi kuwa, siasa huratibu maisha ya mtu mmoja mmoja na watu wote kwa ujumla katika jamii husika. hivyo, Siasa ikiwa mbaya, bila shaka maisha ya mtu mmoja mmoja na watu wote kwa...
Rais amefanya vema
Hatuwezi kuwa na nchi ambayo baadhi ya watu wanashabikia vurugu na kukosekana amani tu. Hao vijana hawajatendea haki miili yao na hawajalitendea haki taifa. Wafunzwe tu!
Naomba tuwe na amani wakati rais akiwapa mafunzo ya kuwa raia wasikivu
Sifa za kipuuzi kabisa
Pasco poleni sana waandishi wenye moyo wa dhati wa kuibua mambo yaliyo nyuma ya pazia lakini yana maslahi kwa taifa. Mimi binafsi niliguswa sana na taarifa zako kuhusu uzulumaji katika miradi ya gesi.werema mpotezeeni tu kajeruhiwa
Kwa hali iliyopo, na kwa uhuni uliofanywa na PAC, ni vema Rais awasafishe hawa viongozi mbele za umma. Wameonewa na kuchafuliwa bila sababu. Hoja nyingi ni za kihuni na kishabiki. Hasira na ujeurijeuri ndo ulitawala. Naaminu Rais atatenda haki.
Kafulila katika hili si mkweli. Binafsi imeniuma kuona kuna watu wanatafutavushindi wala si ukweli. Katika hili mimi sioni mantiki. Ushaniki ni kitu kibaya sana hususan kwa mambo yanayoweza kuhatarisha amani ya taifa.
Kafulila, tuhurumieni wenzenu huku. Zungumzeni ukweli toka nafsini mwenu.
Watanzania tulio wengi ni shida!
Hili suala la escrow nionavyo mimi ni jambo rahisi sana. Fedha za escrow haziwezi kuwa ni za umma kama tunavyosadikishwa kwa nguvu kubwa. Kuna upotoshaji wa wazi tena ni wa makusudi. Inamaana umeme Haukuzalishwa? TaNesco walikuwa wanalipa against what...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.