Ndugu umefanya vyema kuleta hoja hii ktk jukwaa. Ni jambo la muhimu watu kujadili na kuelimishana
Ila sasa unaharibu kwa kupinga ama kuponda ambayo wengine pia wanayafahamu pengine kuliko Wewe. Kama lengo ni kuwatahadharisha wasiojua, basi wacha wadau pia waongezee pale ambapo hukumalizia na...
Hiyo siyo sahihi ndugu!
Kila kituo cha mawasiliano kuna assets za namna mbili kubwa 1) miundombinu (infrustructure) kama chumba, lile li mnara ambalo juu yake wanaweka antena za kurushia mawimbi, na mifumo ya umeme 2) mitambo halisi ya kupokea na kurusha mawimbi ambayo imefungwa ndani ya...
Ndugu mtaalam, asante kwa nia njema ya kufahamisha wengine kile unachoamini kuwa unakifahamu. Pamoja na nia njema hiyo, hoja yako haijajengwa na "facts" za swala hili. Ukweli ni kwamba
A)makampuni haya yametakiwa kuuza hisa kwa mujibu wa sheria. Wao wenyewe wamejitahidi ku-lobby wasiuze...
Ina itwa Bachelor of Science in Electronic Sciences and Communications.
Ni kozi pana kama jina lake lilivyo. Ni pana kuliko hiyo ya telecoms ama kozi za computer sciences.
Ina husu sayansi ya umeme mdogo (electronics) kama vile mifumo ya computer, simu, tv, radio, mashine za kielektronic...
Hoja dhaifu sana hii ndugu!
GPA nzuri haileti uhakika wa utendaji mzuri ktk kazi, biashara, uongozi. Hayo madaraja ya kitaaluma yanafaa tu ktk kazi za taaluma kama ualimu. Maprofesor wangapi wamepewa kazi za uongozi na wamevurunda? Angalia tu hata baraza la mawaZiri la sasa. Wako ma prof, drs...
.....Point yangu mkuu ni kwamba masha yako tangu ukatishwe tamaa na mpenzi wako wa kwanza yametawaliwa na minyororo ya kisaikolojia na unahitaji kujinasua KIUME ili upate fursa ya kutimiza kikamilifu yote uliyoumbwa uyafanye ktk dunia hii.
Niwie radhi kama utahisi nimekuhukumu.
Ndugu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.