Mkuu, mm naona n vyema utafakari tena na tena kisha utaona tu yupi anafaa. Maana hata km mmekaa miaka kumi, yawezekana hakufai...lkn ukakutana na mtu wa mwaka au miezi ukajikuta unaona thamani yake...hauna feelings naye lkn hebu tafakari maneno yake, mwenendo wake na mawazo yake kila unapokuwa...
Pole sana. Tumia ubongo kufikiri na sio kuweka hisia zako. Na kingine, jitahd kufanya kazi, km huna kazi punguza muda wako kuingia mitandaoni kupost namna gani huelewi mambo na uelekeze ubongo wako katika kutumia fursa zilizo mikononi mwako na akilini mwako.
Mtu aliye timamu hutumia ubongo wake kufikiri. Nakushauri, jua kwanza kazi zao na kisha soma sana lakn ukishindwa, usijibu maana utaonekana jinsi usivyo muelewa kwenye uzi muhimu kama huu. Ni vyema kuelewa na sio kushabikia.
Tumia akili yako kufikiri binafsi. Miaka hamsini tuko palepale!? Miaka hamsini nyuma ulikuwa na uwezo hata wa kuyasema hayo maneno yako?! Be respectfut in your country, labda kama ww sio mtanzania.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.