Hivi nini hasa nchi hii inahitaji?Msije kuniambia siasa na uongozi maana woooooooooooooote wezi!
Nimeuliza hili swali watu wengi sana ila sijapata jibu zaidi ya kuzunguka zunguka.Nimekuja hapa nisikie mnasemaje kwa hili.I mean alllllllllllllllllllllllll are not clean.Am confused!!
Mbona unatumia lugha kali sana??Hii ni post ya kwanza mimi kuisoma hapa na nimeona heading ni nzito kuliko habari yenyewe.
Ngoja niendelee kushiriki labda nitaelewa.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.