UKAWA ya EDO imemchanganya sana...sasa hakumbuki kuwa serikali hii na Mawaziri wote ni ya kwake, nahisi anadhani tayari anaongoza chama cha upinzani, ambacho PM ni kama M/Kiti wa KUB, ndiyo maana kamtumia Rambirambi badala ya kumtumia Spika au kutuma Official Press kwa Umma kama Rais!! Hali...
Uchafu wa choo huo....Majina yanayosemekana ya vijana toka Kaskazini mbona majina yote ya kusini....! Uchafu wa choo cha kwa ALI MAUA...kila saa kufurika...! hilo nalo Gazeti? uchafuu tupa kuleee
Mwagika G Sam...huu ni Mwaka wa ukombozi...kumwaga shetwani na vibaraka wake wote wanaosambaza uwongo, kashfa na majungu ili kulinda matumbo na njaa ya kuendelea kubaki kufisadi taifa letu...! Sema, utabarikiwa zaidi
Wadau; Hizi ni Porojo na tapatapa!
Yeye January kaja juzi ktk siasa....Baba yake ndiye aliyekuwa wa kwanza wakataza CCM kuingia ktk midahalo, hasa Tido Mhando {ex-TBC} alipoanzia Mchakato Majimboni...Huyu JM anahemka nini...mweupe tu, amejaa woga!! Wanadhani kuongea tu kama chiriku kwa Mgombea...
Ha ha haa,....kamkimbia 'rais'...maana anajua EDO yupo mujini kuangamiza magugu na magamba kuanzia leo hii...! Subirini muone kama unyao utabakia pale EDO atakapopitia...!
Nakumbuka Mh Mabere Nyaucho Marando, Mwanasheria wa UKAWA aliyetukuka kwa uzoefu, alishasema dhahiri kuwa yeye atachukua Jukumu la Kwanza kuyatangaza Matokeo yote kwa Kila kituo yakiwemo ya Urais, kwa kila atakapoyapata na kuyathibitisha.
USHAURI: Tunawaomba wanasheria wa UKAWA kufanya mapitio...
Mkapa yupo wapi? Alitakiwa awepo MAANA ndiye 'Mgombea' aliyepenyeza 'kete yake' kupitia hiyo sura Mpya!
Tujikumbushe kidogo ktk Jimbo la Arumeru Mashariki na Tabora kwa Rostam Azizi, ilienda Serikali nzima na marais wastaafu akiwepo Mkapa lakini Joshua Nassari (Arumeru) na Kashindye (Tabora)...
Mkapa yupo wapi? Alitakiwa awepo MAANA ndiye 'Mgombea' aliyepenyeza 'kete yake' kupitia hiyo sura Mpya!
Tujikumbushe kidogo ktk Jimbo la Arumeru Mashariki na Tabora kwa Rostam Azizi, ilienda Serikali nzima na marais wastaafu akiwepo Mkapa lakini Joshua Nassari (Arumeru) na Kashindye (Tabora)...
Analo la kweli zaidi ya weweseko? Atueleze na Mabao yake ya Mkono, alivyoiba Kura Mtama, na Rushwa hadi wananchi hadi leo wanaandamana kumpinga! Atapiga tu tarumbeta kama kawaida...maana kwa stairs 'zimeshaisha' imebakia fume!
100% agreed...!
Wanasheria wetu wanatakiwa kuwa pro-active na aggressive zaidi dhidi ya huu utawala unaoanguka kwa kasi!
Pia kuna taarifa kuwa IGP amepita katika maeneo na Mikoa mbalimbali ndani ya Jeshi la Polisi nchini akiwatisha askari kuwa lazima wawapigie CCM kura maana ndio wanaowapa...
Matendo ya CCM ni 'mkono wa Shetani' na haya matukio ya kuwatenga wapinzani ni ishu au dalili ndogo tu kwa tatizo kubwa la chama hiki kinachokufa haraka! Yaliyoendelea ndani ya chama hicho katika Kura za Maoni, hadi kufanya wenyewe kwa wenyewe kukatana mapanga, kupigana, na kukimbiana sio bahati...
Kwa Richmond hii, Utawala wa CCM chaliii...! mbona hapo copies, tunaona 'MINUTES' na MAPENDEKEZO YA KAMATI YA MAKATIBU WAKUU chini Mgonja, kwa ajili ya Maamuzi, na ndiye aliyesemekana kuwa alikuwa anapokea 'Simu na maelekezo' toka Mamlaka ya Juu? Lowassa angegoma wapo? Lowassa alilazimisha Wapi...
Tume ipi? Sasa wenyewe wanakaribia 'kujikojolea' maana kilichoonekana wiki hii wakati EL aliyoibadili DAR, kiliwapa mshtuko wa asili na hawana la kuifanyia CCM ichomoke shimoni zaidi ya kuiachia tu ifanye itakalo kujiokoa!
Tume inajua Kampeni bado, ila Makufuli kutoa Ahadi za Milioni 50, kila...
Mapachu is visionary and transparent, and sadly enough, Your assumptions are odd, and would only be possible under the same same CCM and its corrupt systems downstream.
However, the guy [EL] joined a separate entity which is purely out of your mental parameters, specifically from 'mode...
tpaul
Hiyo itakuwa kesi nzuri zaidi hasa pale magwiji wa sheria wa UKAWA watakapoanza kuyaomba mafaili ya Mgawo wa fedha za Stanbic....'safari moja huanzisha nyingine'...waache wajilete!!
ZZK (a.k.a Yuda) aliiona nyota ya jaha ilivyoangaza Dar wiki hii akagundua kuwa 'mafuriko hayawezi kuzuia mikono'...sorry, yaani kinyume chake, na hivyo amejua mdomo wake pekee unazidi kumlaani, akaamua kugeukia upande unaotoa mwanga...taaratiib..
Yeye ni Mteule bhanaa....aliyemteua anasikia? Wanajopo wenzake kiutawala wanathubutu kulisemea? Tusubirie moshi unafuka, na pengine moto ndiyo utafumua bati tuuone kwa juu...!
Well Said Mkuu, ila kiuhalisia zaidi, ukipunguza kwa EL almost 20% zitakazopotelea ktk kujinusuru kupitia 'MAGOLI YA MIKONO' utafikia kuwa 'POMBE' anapata 35% na LOWASSA 60% na itakayobakia 5% inaenda kwa Wasaliti, et al!...
....saa ya kufa miti, nyani wote huteleza, sorry, the opposite is...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.