Yap, labda hii itamfanya asije US. Kwa nn trip za US, Uk anatia tim mwenyewe? Amtume Pinda au mwingine aah. Na yeye awe anaenda Sudan na Syria. Kwanza kuja kwake US hakusaidii chochote watanzania. Angalia ujumbe atakaoongozana nao. Wapi wanalala na kula ni pesa kibao tunalipa.
How do you know, if she really loves you? how. She can do anything just to get something from you. This applies to men too. How do you know he loves you?
Duh kaazi kweli kweli ila ndo kazi ya pesa hiyo. Mi ntajitahidi nioe binti mmoja wapo kati yao labda mavumbi ya ufisadi takanipitia nikapata maisha bora. Ha haaaaa.
Sasa akimaliza vibaya inatusaidiaje sisi? Badala ya kutupa mwongozo wa kufanya unatabiri umekuwa shehe Yahya wewe? Tuambie kwa ugumu huu tufanye hivi au vile.
Ghadafi kaita raia wake mwenyewe mende na lazima waangamizwe sasa mnamteteaje huyu? Lazima watu watakufa tu kwa njia yoyote ila bora iwe ni katika kuwatetea wapate haki. Rwanda iliachwa wakachinjana leo wanalaumiwa UN hawakuchukua hatua.
AU haina maana yoyote, nini wameweza kufanya, Madagascar kimya, Ivory coast wanasuasua tu, Congo wanawake wanabakwa kila kukicha kimya, Kenya mpaka ICC wameitwa wao kimya, kwa Mugabe hamna kitu sasa hii AU kazi yake ni kula tu sioni kingine.
Duh hii kali yaani mwezi ujao utadondoka na mwisho wa mwaka utakua, sasa huu uchumi umekuwa kama mvua za masika. Cha ajabu watz tukiambiwa tunakubali tu, hakuna kuwajibika hata kidogo. Watu wa nje wanatuona hamnazo kabisaaaa.
Anataka kwenda Cdm huyo baadae, so anatafuta sifa ili akichomoka apate nafasi nzuri angalau. Ni kama mzee wa propaganda wa ccm aliyetoka cuf Tambwe. Alijijengea jina cuf then akahamia ccm so ccm ikabidi wampe ulaji kwani anamaslahi kwao.
Sanaa kila pahali, wakipunguza kodi kwenye bidhaa itabidi wafidie sehemu nyingine, sasa angalia bei za bidhaa zingine wanazoita sio za lazima zitakavyopanda.
PAYE pia haitaachwa. Kwenye madini aah jamaa wanapeta bure na misamaha. Hamna kitu kasema JK.
Asilazimishe ndoa, hiyo ishakuwa balaa, mfano hata huyo mm akikubali kuishi na kakako, je mtakuwa na amani? Ndoa ni amani na upendo achilia mbali pesa japo zina umuhimu maana kula lazima. Cha kufanya taliki, pigana kiume fursa bado ziko kibao, na boom utashangaa umerudi saafi na at that time...
Mtake msitake RA kasema kweli yy ni mwanasiasa makini, ktk vikao vyote vya ccm hakuna hata mmoja aliyewahi mkemea kwa mwenendo wake, pili katika wabunge wote wa ccm na baadhi ya wapinzani hakuna anayeweza kumsema hadharani sasa kama sio makini tusemaje. Na mwisho wa Tz tumesema weee still jamaa...
Na wengine waige hamna haja ya misaada. Mtu akishajua atasaidiwa hajitumi. Angalia ofisi za wizara na magari yao, full ufahari ya nn kutoa misaada kwa watu hawa? ACHENI, then tutatia akili.
Kwani kwenye kubomoa Dr Magufuli alivunja sheria? Kama ndiyo apelekwe mahakamani basi, mbona watu wanasema pembeni tu na mahakama zipo?
Hii ndo sanaa sasa siasa kila mahali tunabaki wachovu kila siku. Usikute wabunge na watu wenye uwezo wamejenga na wanatafuta namna ya kuzuia.
Usishangilie kwa sababu kasema walipwe, alishasema nadhani wakati wa Mkapa, watu wakalipwa sh 700, 1000, etc, nilikuwa Tanga wakati huo aibu.
Mzee katoka Muheza ndani Teule huko kuja chukua mafao anakuta 700 acha tu. Wazee lakini walitukana matusi si mchezo.
Hiyo tabia kaanza lini, kama kabla hujamwoa alikuwa hivyo basi tegemea hayo kuendelea la basi kajifunzia kwako na wewe ndo tatizo. Cha kufanya tafuta siku yuko na furaha sana kaa nae ikibidi nje ya home, jiweke mdogo then muulize kwa lugha laini tu mambo yatajipa utapata majibu yoote.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.