Jamani hebu tuwe tunatafakari sio kila taarifa unabeba hasa kipindi hiki cha uchaguzi. Tuache kuzoa propaganda na kuzipost tu hovyo hovyo kwa kuwa tu wewe ni mwanachama wa chama fulani. Unauhakika gani hizo msg zimeandikwa na CCM? Si propaganda ili useme kuwa wamekushindwa sasa wanatumia ujumbe...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.