Jitihada za Mhe. Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. John Pombe Magufuli za kujenga na kuimarisha Tanzania Mpya zitafanikiwa endapo utamaduni mpya wa Kitanzania utajengwa na kutiliwa mkazo.
Utamaduni huu ni wa kuwa na maadili ya Kitanzania (Tanzanian Ethics), yaani tujenge Adili ya...
Wote mnaomlaumu au kumbeza Rais Magufuli hawaitakii mema Tanzania kwani nchi ilishafikia pabaya. La msingi ni kumuunga mkono ili nchi ibadilike tufaidi sote. Au mnaobeza ndo ninyi mliekuwa wapiga dili?
Safi sana umemweleza mtu huyu asiye na shukrani. Anadhani bado tupo kwenye kampeni kama baba yao juzi alivyosema kuwa anaamini atakuwa rais wa Tanzania. Labda Tanzania ya kuchonga ndo inaweza kuongozwa na mtu kama mamvi
Wewe ata ukiambiwa ni mwanaume utabisha utasema kuwa wewe ni mwanamke kwa sababu hulka yako ni ya ubishi. Soda zimeshuka bei, saruji imeshuka bei, unga na sukari viko mbioni kushuka bei. Kodi mabilioni yamekusanywa kipindi kifupi hata hayo huoni, ama kweli ukistaajabu ya JK utaona ya JPM
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.