Wote tunajua ripoti iliyo pita ilikuja na ufisadi wa 1.5trilion na Leo nyingine hii inafanyiwa mizengwe kiasi hiki kunani!!!
Nimekuwa nikijiuliza Tatizo ni nini??
-Je nikauli ile binafsi tu ya Bwana Assad ndio tatizo la yote haya?
-Na je Mbona kwa mara ya kwanza katika historia Raisi kapokea...
Kwa wajuzi wa mambo wanaelewa ni jinsi gani bunge la afrika mashariki linavyo tawaliwa na Rwanda. Na wote pia tunajua jinsi Kagame alivyo mshika pabaya mkuu wetu kiasi cha kuto sikiliza lolote kinyume na matakwa ya huyo jamaa.
Kinacho uma kuliko vyote ni pale mkuu wetu alivyo tayari kufanya...
Hivi nyinyi CCM mna akili gani yaani hapo hamuoni mantic kweli Hebu someni tena anachoeleza mwandishi ni kwamba Tunapokea maelekezo toka Rwanda hilo halikuumi???? Kinacho kuuma wewe ni Ubunge wake tu! Shame on you CCM
Mi nashauli hakuna wakati tunatakiwa kuungana kumpinga mtu huyu kama sasa tukakosea tu akafanikiwa anachotaka tumekwisha Mdharau mwiba mguu huota tende
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.