Zitto ni mfano wa Mke anaejigamba kila siku.."Wanaume wako wengi" ukitaka kumuandikia Talaka ili awe huru na hao wanaume anakimbilia Mahakamani kuzuia talaka
Inasikitisha sana kuona Vijana wa Chadema wakianza kujikuza katika siasa na sarakasi zinazofanywa na wana-CCM katika chaguzi zao. CHADEMA kimejitambulisha kwa wananchi kama chama mbadala wa CCM katika kuiongoza na kuiletea nchi yetu maendeleo. Kuwa mbadala yabidi uonyeshe kuanzia kwenye kila...
Sajenti naona unalichukulia hili suala juu juu...Kiuhalisia CCM wanajua vyema uwezo wa kiakili, kifikra na kiuongozi ambao wabunge wa CHADEMA wanao na ndio maana wanaunga mkono mapendekezo ya Hamad na Kafulila...hilo ni moja...
na pili CCM wana-play political game kwa kupitia mgongo wa CUF na...
Ukiangalia kwa makini, majimbo mengi ambayo chadema wameshinda ilihitajika nguvu kubwa kutoka kwa wananchi kushinikiza matokeo yatolewe hata kukesha watu walikesha. Vp kwenye majimbo ambayo umma haukujitokeza kwa nguvu na idadi kubwa?
Ijapokua hawezi kuzungumza kiswahili fasaa, bodylanguage yake by the tym anaelezea kuchukizwa na kitendo cha JK kuwashika mikono na kuwaita watu safi watuhumiwa wa ufisadi ilionyesha wazi jinsi alivyoudhika na jinsi gani hana woga wala wasiwasi kwa maamuzi yake.....nitafuatili kujua hasa mtu...
Source: Mlimani TV
Mfanyabiashara maarufu mwenye asili ya kihindi Ndg.Sabodo amekichangia Chama cha Demokrasia na Maendeleo shilingi Milioni 100 (kwa mara ya pili sasa) na kuweka wazi kwamba yeye ni mwwnachama na kada wa siku nyingi wa CCM lakini amekerwa na tukio la Mwenyekiti wa chama chake...
Nimechoshwa na matokeo ya uongo wanayotoa hawa vibaraka, nadhani hawatambui kuwa mabadiliko ni kama mvua, kama inanyesha inanyesha..Hta wakimpa 100%...mabadiliko yapo njiani...tunakuja na watalokota benyewe kwenye nyavu....
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.