Dhahiri kama ndivyo itakavokuwa basi itasaidia lakini mi nina wazo moja kwa wenzangu wanaJF kuwa mara nyingi mambo mazuri hayapatikani kwa kujiweka kando,bali kujitoa kwa moyo mmoja,kuvumilia kashikashi na kuwa na imani kuwa lile tunalo amini linawezekana.
Binafsi ningependa mambo yafuatayo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.