Shule hii kidato Cha I-VI, shule imepelekewa wanafunzi 400+ wa kidato cha tano huku hakuna miundombinu inayotosheleza kupokea idadi hiyo ya wanafunzi.
Shule ni kama imetelekezwa hakuna anayejali, watoto wetu wanalala chini, umeme hakuna shule ipo gizani wakati ipo porini, shule haina walimu wa...
Miji mingi Tanzania inakabiliwa na kupoteza ubora,nyumba nyingi zinaonekana kuchakaa hususani paa za nyumba nyingi kuonekana kuwa na kutu. Yawezekana ni bati kutokuwa na bati nyingi kukosa ubora licha ya hapa nchini Kuna taasisi ya umma inayoshughulika na ubora wa bidhaa.
Utitiri wa viwanda vya...
Wanachuo wakisup siku hiz wanalalamika mitandaon media zinapiga kelele,wanasiasa wanaunda kamati kuchunguza kwann wanasup,Kwa kuona hivyo hakuna sup sikuhiz,pili wogawa serikali kupoteza Hela Kupitia heslb vyuo wanalazimisha kufaulisha tu,wakija kupata AJIRA utafikir katokea form two na...
Ni kweli,Tangu enz hizoChuo kikuu kimoja tu Cha kiislamu Cha Morogoro na majengo yake tulipewa na JK.Hata hvyo wengi wetu hatuendi kusoma hapo hata dini jirani zetu hawaruhusiw.Bakwata ni majungu tu.
Ukiwa kwenye ofisi za umma,iba uwezavyo.Ukitaka kujua angalia mtumishi wa umma akifariki kabla ya kustaafu,bila michango ya wafanyakazi wenzio mambo hayaendi,sanduku linawekwa kwenye Carrier ya cruiser.Wanasiasa wakifariki Hadi nyumba zao zinakarabatiwa.Uzalendo sio tz
Heslb wamekuwa wakikata hela hovyo Kwa watumishi wa umma hata Kwa watumishi wa umma wasio wanufaika au wanufaika waliomaliza madeni Yao ya Mikopo bila utaratibu.Inaonekana Hawana database ya wanufaika waliomaliza madeni hivyo hurusha jiwe,watakaolalamika ndio wanajua huyo hana hadaiwi au...
Mimi nilisoma mkataba wa kilaghai kati ya Mangungo chifu wa Msovera na peter cjawahi hata kufika huko,ila nikisoma maandishi yaan mkataba naona umepigwa.Ile Historia inareflect ya sasa.Yule chifu baada ya kusaini,alipewa na vioo vya kujitazama na shanga.Kwa sasa unapelekwa hotel ya nyota 6 na...
Leo tarehe 01/07/2023, nilienda kutembelea shule ya sekondari yenye kidato cha I-vi Nasibugani high school , shule hii ipo tarafa ya Kisiju, kata ya Msonga halmashauri ya wilaya ya Mkuranga mkoani Pwani, ipo km 48 toka halmashauri ya wilaya ya Mkuranga, kijana wangu amechaguliwa kusoma tahasusi...
Ni kweli kabisa,kkkt huwa tunaenda Kwa ajili ya kuzikana tu,mkiwa watu nane kwenye familia ujue uwe na bajeti ya jpili moja zaidi ya laki,ni kujenga mijengo.Ukienda makanisa mengine huko Nako wanapangiwa kiwango Cha utoaji,katolik watu wanazikimbia jumuia.Kwenye uislamu huko hali ni shwali kabisa.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.