Kesho Majira ya saa Tano Asubuhi, Jumamosi Januari 13, 2024 Kamanda wa Anga na kipenzi wa Watanzania Freeman Mbowe atazungumza na Wananchi wenzake kupitia vyombo mbalimbali vya habari kutoka makao makuu mpya ya CHADEMA-Mikocheni Dar. Hii si ya kukosa
Wewe endelea kutokea macho pesa za join the chain hizo tuna kazi nazo nayo Bado haijafika endeleeni kujichanganya na wizi wenu,mmevuka Kwa kuiba Mali za Umma na kuzifanya kuwa za chama
Sent from my M2006C3LG using JamiiForums mobile app
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.