Nakubali uniite mjinga.... Ila tuko wengi....!!!! Tumeanza kwa Uchaguzi mitaani, tunapasha kwa ajili ya Katiba Pendekezwa, fainali 2015.... Ujinga wetu utaonekana tuuuuu:msela::msela::msela:...
NENO LA MUNGU linapatikana kwa kusoma BIBLIA PEKEE, ukisubiri au ukitegemea nabii akusomee.... matokeo ndo haya... !!! Akiwa anahubiri au kuonyesha maajabu yake we soma BIBLIA yako, ukiona hayamo anayofanya na kuonyesha,... Endelea na mambo mengine achana na utegemezi katika mambo ya MUNGU...
Wakati wa mjadala wa ESCROW kuna mtu alomba avae KI-NINJA.... Mimi kwa dadangu asumpata sihitaji kuvaa kininja... AMETUFEDHEHESHA sanasana sisi tuliojamaa zake...!!!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.