I've tried both sports betting and casino games and ended up gravitating more towards to these poker online platforms. Initially, I was skeptical, thinking it might just be a time sink, something I've heard echoed by a lot of folks. But honestly, I got completely drawn in. It's not just about...
Mkuu aisee sijajua kama nimekatisha Tamaa lakini lengo langu ni kutoa taharifa tu, ila unaweza pia kuchukua Risk na kuja ila naelezea mambo niliojifunza huku.
Wakuu Habari Zenu, Embu tuelewashane kitu baadhi ya watu wanaonitafuta kutaka kuja Kufanya Nje wengi wao uwa ukiwauliza unataka uje ufanye kazi gani WATAKWAMBIA YOYOTE, yes ni kweli kazi Ngumu kupata huku UAE lakini Tafadhali usipange kwenda kufanya kazi Nje ya Nchi ukiwa ujakuwa ujajua unaenda...
Mkuu kwanza hiyo "blue screen error" inakutokea kwenye windows gani?
Pia je umejaribu kufanya vitu hivi
je hardware zako zote zipo sawa, hii mostly uwa inasababishwa na HDD/SSd/Ram error na inawezakana labda ikawa zimekuwa na tatizo mahali.
kama ulishawahi "Create restore Point" unaweza...
Mkuu hizo pc mbili zote ni aina moja ambazo ulijaribu hizo ram,hdd,betri?
Kutokuwa kwa Pc uwa kunahusihwa na vitu vingi ila cha kwanza ukichomeka charger inaonyesha inacharge na ukibonyeza button ya kuwashia inatoa indicators yoyote au kuna Taa yoyote inawaka kwenye kiboard yako?
nikipata majibu...
Ni kweli mkuu naona watu wanapewa Habari tofauti juzi nilikuwa na jamaa wa Cameroon amekuja huku kutafuta kazi imekuwa ishu na amejilaum sana kwa maana pesa aliotumia ni nyingi na Dalali aliomleta alimpa information za Uongo.
Mkuu kuhusu kuzuiliwa kwa Visa sijajua vizuri ila kwa TETESI tu ni kuwa watu weusi wengi w anaishi huku wakiwa wana OVERSTAY, na Vurugu ndio maana hata baadhi ya nchi za Afrika ikiwa unataka visa yako ifanywe upya inabidi uwaletee police Clearance na kingine ni kuwa waafrika wengi kazi hawana so...
Guys, sijaingia kwenye huu mzi muda kidogo kwa ushauri na Angalizo na nautoa huu kwa uzoefu wangu mwenyewe, Mimi nilikwenda Dubai bila kutumia Dalali yoyote although ilikuwa ni risk ukizingatia ilikuwa kipindi cha Covid 19, ila nashukuru nilijitahidi nikapata kazi sehemu ambayo nipo hadi...
Kama umefanya hivyo vyote na bado jaribu hii nyia ya mwisho,
Fungua RUN kisha andika mmsys.cpl kisha OK
Nenda kwenye Recording Tab, kisha angalia kama microphone yako ipo enabled baada ya hapo set as Default kisha Ok, Kisha hapo hapo Right-click Microphone > Properties>Levels iweke hadi 100.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.