Takriban mwezi wa pili sasa sikusikii ukirusha mashambulizi kwa wale unaodai wanawaingilia katika utendaji wenu wa kazi. Je umetishwa? Unanikumbusha wakati uleee wa Rage, alipiga kelele weee tukashangaa tulipoambiwa yupo Ukonga, je kimya chako kinamaanisha ya Rage?
Katika taarifa ya habari ya saa 2 usiku leo Radio One Stereo, kiongozi mkuu wa dhehebu la dini ambaye anatarajia kustahafu amesema yanayoendelea Bungeni kwa sasa ni tatizo la malezi. Tundu Lisu umesikia?
Sioni tatizo, sisi wagogo tunamaanisha atamsaidia dada yake katika siku 3-7 za mwezi akiwa.... unaweza kudokoa hata akiumwa dada au akiwa busy, tunaruhusu hiyo. sijui kwa wamasai ikoje?
Tunaongozwa na unafiki. Fanya utafiti uone ni wanaume wangapi wanaotakiwa kuwa na mke mmoja tu wanatoka nje ya ndoa? Ukilijua hilo utafahamu kuwa wanatumia vinywa lakini matendo yao yanaeleza. Ni mabingwa wa kutumia vinywa.
Sisi siku ya Valentine tumekubaliana kubadilishana line za simu. Atachukua line yangu na yeye atanipa yake one day before, kisha kila mtu atakuwa kwake siku nzima, tutarudishiana the following day. Nadumisha upendo, naruhusu kupiga na kupokea simu. Acheni unafiki wa kupeleka vi maua tu, go further.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.