Kwanini hujauliza sabuni? Mwisho wa siku unaweza ukauliza na taulo ina kazi gani. Maana vitu vyote hivyo vinakuwepo kwenye nyumba za wagaeni na matumizi yake yanaeleweka kwa kila mmoja.
Tatizo siyo kupewa point tatu, ila ni sheria na kanuni zina mapungufu. Ili kukata mzizi wa fitina ilipaswa Kagera apokwe Point, lakini Simba pia asipewe point za mezani. Hali kadhalika kuwe na adhabu nyingine siyo kupokwa point tu ndiyo inatosha.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.