Nadhani hujui unachoongea au kuandika, unashangilia Taifa lako kuingiliwa katika miiko ya uongozi kisa wewe huipendi Yanga. Hapa swala si yanga ni udhaifu katika uongozi wa CECAFA.
Malinzi,
Rejea habari za Yanga kukataliwa kupeleka timu ya vijana, nauomba uongozi wa TFF utoe ufafanuzi, ni wapi ilipoandikwa kuwa timu iwakilishwe na nani? Kama nia ni kukuza soka la ukanda huu, basi hii ni kitu cha ajabu saana, nia na dhamira ya Yanga ilitakiwa kuungwa mkono, kwani ilikuwa...
Mkuu Makoye Matale,
Binafsi nawaunga mkono, na hili swala nililiandika mapema katika link ya Malinzi, na kuuliza maswali kadhaa juu ya uendeshaji wa shirikisho hili. Soma kwenye link hapa chini sababu nilizotoa.
https://www.jamiiforums.com/sports/598842-maswali-na-ushauri-kwa-malinzi-28.html...
Malinzi,
Hivi CECAFA, inashirikisha vyama wanachama katika kuanadaa mashindano(ratiba) yake, i.e klabu bingwa? Na je nia hasa haya mashindano ni nini? kukuza mpira ukanda huu, biashara, kukuza maelewano ya viongozi? Nauliza hivi, kwa sababu, nikiangali tu tuchukulie mfano wa wawakilishi wa...
12m ago
US intelligence supports theory of rebel 'mistake'A press conference was held this afternoon by the US office of the director of national intelligence (ODNI), at which select reporters were briefed on US intelligence with regard to MH17, the SA-11 missile system suspected, and rebels'...
Warusi, wamesema watoe hizo image tuzione, na wao watatoa kutoka kwenye space. Sasa mpaka saa hii, kwa nini Ukraine Intelligence service, haijatoa kukanusha explanation ya ile video walitoa? na wapeleke wandishi wa kimataifa waka hakiki hiyo sehemu?
KGB, wametoa na kueleza na kueleza ipo sehemu...
Hebu tazama na kusikiliza vizuri hiyo press conf,. hivi unakumbuka Gen Collin Powell? ndo haya yanakuja, Marekani angekuwa anacho kidhibiti tayari angekuwa ameunguruma, hii imetolewa chambo ili kupata nafasi kumtenga mrusi, ili waikamate Ukraine na pia kwa Urusi kumpa hifadhi Snowden.
Hivi...
Mkuu,
Wamewavua nguo Ukraine, intelligence agency ya Ukraine wamechemsha, sasa Marekani atoe hicho chombo chao cha space, kilikuwa hapo kinafanya nini? na mbona hawatoi picha kutoka space na position ya wapi ilitoka hiyo misile? Na hizo jet fighter zilikuwa zinatafuta nini? Mbona Ukraine...
Malinzi,
I came across this very interesting article, hopeful will help you and your organization.
Cheers!!!!!!!!!!!!!
How Germany's 14-Year Plan Destroyed Brazil
By Brendan Greeley
July 08, 2014 10:48 PM EDT
Photograph by Alex Livesey/FIFA via Getty ImagesThomas Müller of Germany...
Hivi, hakukuwa na conceptual design? ili hata iweze kutoa fursa ya kamati yenu kujadili?
Na kwa mradi ambao ni mali ya public insitution, kwa nini hamkutoa tender ili ma archtect waweze kushindana, na nyinyi mwisho mnapata kitu safi ambacho ni cost effective.
I really wonder, ohh Malinzi...
Malinzi,
Sina wasiwasi, ila uongozi wowote ulitukuka huendana na transparency katika mapato na matumizi. Hiki kitu haina maana watu wanapotoa ni kuwa wana wasiwasi, la hasha.
Hii si kwa faida yako tu, bali hata kwa wengine wote.
Malinzi,
Eneo hilo ni zuri saana kwa executive business center.
Hamtakiwi kujenga maduka, kuzunguka hapo na kuweka hotel, kumbuka unapoweka hayo maduko ya frame, hali ya usalama inakuwa ni mbaya saana, na hata watu wa kulala hapo unahatarisha maisha yao.
Kilichokuwa kinatakiwa na kujenga...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.