Jamani super modo Leo ni wedding yake. Anaolewa na nini, mbona kafichwa hivyo.. Au mume ya mutu?
========
Hatimaye mwanamitindo wa kimataifa, Flaviana Matata amekuwa Mrs Massawe.
Flavy na mpenzi wake wa siku nyingi Deogratius Massawe wamefunga pingu za maisha Jumamosi ya August 15, 2015...
Wazungu hawaangalii sura, ni mapenzi tuu hajalishi uko na shepu gani, wanaume wa bongo wanaangalia sura, mara wowoo, mara mguu wa bia, wakioana ndoa mwaka chalii
Halafy wazungu wanasemaga weusi tuna harufu mbaya sana.kila ngozi iko na harufu yake. Mimi ni mbongo na nimeishi ulaya miaka 17 na uwa nikijaga bongo yaani harufu za watu huwa some of them in mbaya, siyo kwamba hawaogi no tofauti ya nguzi ya MTU na hali ya hewa. Mbona wengi tu wananuka vikwapa...
Nashukuru Mungu Kanipatia kamzungu kangu. Kila kazi tunasaidana tukitoka job yeye anasaidia kids with home work mie jikoni. Yeye anaosha dishes mie naogesha watoto,Wanaume was kibongo nourma Sana. Pole Dada.
wadau shaikamooni(marahaba) nombeni msaada. nini Rafiki yangu niko nae huku UK ni mzungu raia wa uingereza na anataka kuja Tanzania for 6 wkks je swali ni kwamba Visa ataipatia pale Airport au aendee tu Ubalozini? Asanteni sana
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.