Hii kodi ilikuwepo tunaita Government Leavy na kila Mtalii akilala usiku mmoja analipia USDollar 1.5 sasa sijui hawa viumbe wamepandisha tena au wameshusha kwa ajili ya kuvutia Watalii?
Mkuu unakwama wapi siku hizi au ndio wajiandaa kuwa karibu upate UDC?Kwani watu wakiuana ndani ya nchi si wanaua nchini kwao jiulize kwa nini wanashitakiwa the Hague?Unajitoa ufahamu mkuu kama hujui ngoja nikuambie unapotea na unapotosha watu ipo wapi Tume Huru ya uchaguzi Tanzania?imechaguliwa...
Yaani na akili zako zotee ndio umeandika huu UHARO hapa,kwanza nikuulize unaamini katika mfumo wa siasa za vyama vingi?kama kweli haya uyasemayo leo hii Marekani na nchi za Ulaya leo hii zingekuwa nyuma kimaendeleo umeeandika sana lakini ni ZERO nijuavyo mie na uelewa wangu mdogo ni kwamba bila...
Acha upumbavu Mungu atakuadhibu wewe uaminie katika mtu, Pombe huyu ambae watu wanatekwa na kuuliwa huku yuko kimywa,mtu anae waambia watu wa Kagera yeye hajaleta mafuriko kwa hiyo hatoi msaada wowote huyu mwenye ubaguzi wa hali ya juu ya kupeleka maendeleo kwa upendeleo wa chama chake ndio...
Mnaota mchana kweupe hivi Mrisho Gambo anaweza kumtoa Godbless Lema Arusha kweli lol.Kwa Arusha kwenda CCM chini ya mhuni huyu aitwae Mrisho Gambo hata sijui anatokea Mkoa gani ni ndoto za mchana kweupe
Hamphrey Pole Pole mwenezi wa CCM acha uongo mchana kweupe hivi unamdanganya nani ya kwamba tangu 2015 mfumuko wa bei haujapanda kweli?Hivi sukari bei ya 2015 na leo ni sawa hebu acha porojo aisee
Unasema wenye mishahara midogo wamefutiwa kodi mbona unakuwa muongo hivyo aisee please acha...
Kwani jimbo la Kondoa kabla lilikuwa likiongozwa na Upinzani kiasi kwamba ndio hakuna maji kwa kuwa Wapinzani wamepinga kuwepo maji Kondoa naomba majibu ya nguvu au hoja hai please
Katika watu wanaojidhalilisha ni huyu mama yaani alikuwa First Lady hajatosheka tu hadi ubunge ni aibu sana.Ati anakuna nazi huu ni uwenda wazimu haki.First Lady ni cheo kikubwa kuliko Ubenge atii lol
Uamuzi mzuri sana kweli Chadema ni chama makini sana.Imagine kama Wabunge wa CCM ndio wangeambiwa na mwenyekiti wao msiingie Bungeni mka ji isolate wenyewe majumbani mwenu je wangeonekana wakaidi kama hawa wapumbavu?
Huyu Pimbi kajiunga juzi tu ni wakumpuuzia tu,kwani baada ya Dr Slaa kuhamia CCM mwaka 2015 nani Mbunge wa Karatu na ni wa chama gani?Mie nipo Karatu Wairaq wa hapa sio wapumbavu wanaona mbali mbunge wao yupo ni wa Chadema hapa CCM wamenunua sana madiwani na wale madiwani ni njaaa nawafahamu na...
Tuliambiwa tutapata all information through 3 Person especial this hard time of fighting with CORONA,Tukatangaziwa mashule hadi Vyuo vikuu vimefungwa hakuna kuhudhuria sio WALIMU wala wanafunzi means haitakiwi misongamano.
Lakini cha ajabu huyu RAS wa Mkoa wa Tanga kaagiza Walimu wote waende...
Huyu James Mbatia ndio unasema atakuwa Mbunge wa wapi vile,Ati atafanya wonders where?Hivi barabara na kusambaza maji ni kazi ya Mbunge au serikali?Acha upumbavu Mbatia keshaisha kisisas
Ni maajabu ya mwaka DPP anakoma na Mh Godbless J.Lema ati atamshitaki kwa kusema uongo kwa mauaji ya Singida kama anavyodai kuwa Mh Lema kasema uongo.Hivi mbona huyu mtu anapambana zaidi na Wapinzani au yupo kwa ajili ya kuwakomoa Wapinzani ambao wanasema kweli na wao kama serikali hawataki...
Tatizo linatokea pale kukiwa na masharti tofauti na upande mwingine mfano chukulia hivi kweli Kiongozi wa Chadema anaweza kukubaliwa kuitisha press ndani ya Magereza kama alivyofanya Hamphrey Polepole?
Mbona wao waliruhusiwa kuingia hadi ndani kumchukua Mashinji kwa nini wao wakubaliwe na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.