Shikamoo mwanangu, nasalimia pesa zako na moyo wako wa kujitolea kwa ukombozi wa nchi yetu.....aishiye kwa upanga hufa kwa upanga, CCM inapelekwa Makaburini na CDM ndio wanafufuka.
Hivi semina elekezi wanazopatiwa kwa gharama kule Ngurdoto, huwa wanapewa mtihani kupima uelewa wao?sawa na kwenda na suti kuzindua mbio za marathoni?...kabla ya kuongea fanani lazima ujue hadhira unayoenda kuzungumza nayo.
Vema na haki walichotenda wanafunzi
Kilichonishangaza zaidi ni pale aliposema "unakuta wizara au halmashauri ilipotembelewa na CAG haikuwa na risiti/viambatanisho vya matumizi, lakini ripoti ya CAG ikitoka unakuta tayari wameshapata risiti/viambatanisho...kwahiyo zile tuhuma zinafutwa kwenye ripoti".
Upuuzi mtupu, siamini kama...
Kilichonishangaza zaidi ni pale aliposema "unakuta wizara au halmashauri ilipotembelewa na CAG haikuwa na risiti/viambatanisho vya matumizi, lakini ripoti ya CAG ikitoka unakuta tayari wameshapata risiti/viambatanisho...kwahiyo zile tuhuma zinafutwa kwenye ripoti".
Upuuzi mtupu, siamini kama...
Kupenda kazi....kusema kweli CDM ipo juu kama rubani hewani, kila siku CC-Mafisadi inazidi kubakiwa na vikongwe....wale wa-today wanawaona kama Chocklate za Bamia
EDUCATIONS
School Name/Location
Course/Degree/Award
Start Date
End Date
Level
Mbigili Primary School
Primary Education
1980
1987
PRIMARY
CCM College Ihemi
Certificate
2007
2008
CERTIFICATE
Ministry/Political Party/Location
Position
From
To
Chama Cha Mapinduzi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.