Muanzisha mada, Je! Unaamini wewe binafsi una Mwanzo!? na Je! ni nini fikra yako kuhusu mwanzo wa Uhai duniani!?, ukijibu haya maswali mawili nitakuja kukujibu vizuri kuhusu Mungu.
Naomba niungwe tu kwenye hiyo kamati, ninao mwarobaini wa tatizo la kilimo Tanzania, siwezi kuandika sana lakini naahidi kwamba mtaona tofauti kubwa kati ya sasa na kilimo baada ya hii kamati, tutajivunia tena kuwa na wakulima wanao nufaika na wenye tija na uwezo kamilifu, uwezo ninao kwakuwa...
Hivi unafikiri transformer, Generators na control system zote zitafungwa za mwaka 70 kwa akili yako!!?..😀😀Labda CAG yeye mwenyewe au team yake hawako compitent juu ya feasibility study ya mradi wowote wa umeme, wanaposema imetumika feasibility ya miaka ya 70 sijui wameisoma vyema hiyo...
Maswali mazito, lakini ukisoma vizuri hapo juu nimesema kunaviashiria, hivi kama makampuni mfano yote mawili kampuni Mama na makampuni mengine yaliyojuu ya mnufaika wa mwisho ambaye ni mtanzania yote yanapata faida(udalali) kutoka katika jasho lako wewe kwanini basi isiwe wewe uajiri we na hiyo...
Mfumo wa ukodishaji wa wafanyakazi umeshika kasi sana hususani kwa makampuni Mengi makubwa hapa nchini, hili lipo sana sana kwa yale makampuni yaliyo na chimbuko la nje ya nchi.
Mfumo huu unaviashiria vya ukwepaji wa mambo fulani ikiwemo kodi kwa Serikali, utakatishaji wa fedha na kunyonga...
Bila shaka hii umeielekezea kwa mungu wa kabila lenu. - Mungu Muumba wa ulimwengu na vyote vilivyomo ndiye anayeijua hatima ya watanzania yeye ndiye huwapandisha na kuwashusha watawala haambiwi na mwanadamu amhukumu na nani ampe haki - Mwombe Mungu ili kiongozi aliyemruhusu atawale atende haki...
Jiongeze tu, Hayo makelele ya kampeni tunayosikia huko barabarani sio kuingilia uhuru wa mtu!?.
Unataka iwe kwamba kila mgombea awafuate wale wa chama chake au wale wanaompenda tu!?, kama mtu kakuomba kura kwa message ni jukumu lako wewe kukataa kama huridhiki na huyo mgombea huu ni wakati wa...
Hivi zambia, kenya, malawi nchi zilizo badili vyama vikongwe mbona bado vina andamwa na umasikini uliokithiri - kwa akili yako unafikiri tatizo ni ccm!? - tatizo la Africa ni watu mnaofikiria kama nyie ambao hata hatua za maendeleo hamzijui mnaolala mkiota mnakula mkate wenye siagi wakati hamjui...
Kuchora picha ya Ghorofa sio kumiliki ghorofa.
Huyo unayemuita mwenye maono ya mbali anafaa awe mshauri tu wa Rais tena apunguze jazba arudi chini amsadie Rais sababu yeye hana sifa za kuwa Rais atakayewaletea wananchi maisha bora.
Tanzania na Africa nzima tunahitaji marais watakaotuondoa...
Huyo mpayukaji wenu ana Busara gani!? Huyo anayejiona mjuaji kwenye kilakitu!! - Magufuli ndiye chaguo letu mwacheni aijenge nchi yetu bado wananchi wengi wanamwelewa nakuona jitihada zake - nyie mliochagua mlengo wa ushoga na kujipendekeza kwa wasiotutakia mema lazima Mumuone Rais wetu mbaya wenu.
Since the time you started to regard TZ as a High risk corona country to date it has proven you wrong, bad enough you are the one suffers the most, our schools are open for month's now, sports and recreational activities, busness everything is normal this part and we dont see people falling as...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.