Ulemavu wao unatokana kweli na mazingira waliyopo, mazingira ya Tanzania ni joto na jua kali hapo albino lazima awe na changamoto na hapo atakuwa anaonekana mlemavu. Ila huko Uengereza kwenye baridi, Albino anaishi kama mtu asiye na shida yoyote.
Tangu nijiunge na JamiiForums sijawahi kuona mtu amejihoji maswali ya kijinga kama huyu. Sidhani kama kuna mtu atakufunika kwa kujihoji maswali ya kijinga zaidi ya haya.
Njia pekee wanayoweza kutumia ili kupata masikio ya watu ni kuwakosoa vikali watendaji wazembe ndani ya serikali, kuanzia mawaziri.
Sasa wewe wananchi wamechoka na uzembe wa serikali wewe unaenda kuwapigia ngonjera za serikali imefanya hili na lile, hawawezi kukuelewa.
Makonda alikuwa...
Tofauti kubwa ni kwamba Lowassa alikuwa na watu na alikuwa na uwezo. January hata hapo ndani ya chama akisimamishwa na mgeni Josephat Gwajima bado hawezi kumshinda Gwajima.
Inadaiwa, na Ruto amewahi kusema, Ogolla ni mmoja ya watu ambao walitaka asiwe Rais wa Kenya. Anadai alitumwa kumzuia mwenyekiti wa tume ya uchaguzi asimtangaze Ruto kama mshindi.
Licha ya hayo yote, Ruto baada ya kuwa rais aliamua kumteua kwakuwa aliamini ni mtu makini na mwenye sifa zote za...
Kwa wakristo, Mungu anajitahidi sana kuwaonesha Mbwa mwitu wanaovamia imani yenu ila ni vichwa ngumu na wazito kuelewa.
Mambo yanadhihirika kabisa kwamba viongozi wenu wa kanisa wanapingana na Mungu ila mnakaza kichwa na mnaanza kuwatetea!
Labda ni kwasababu upinzani nao umedorora ndio maana CCM wanaamua tu kumpa mtu yeyote cheo?
Yote tisa, kumi viatu vya Makonda Makalla hawezi vivaa labda ajaze magodoro ndani.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.