mimi wala sishangai na siwezi kumlaumu huyo lisophia ila namlaumu aliyempa hiyo cheo, mama huyo kwanza hajui analofanya tangia awe waziri sijawahi kumsikia hata mtu moja anayemsifia, kuanzia utendaji wake hadi hotuba yake ni pumba tu, ingekuwa china huyo mama kashalimwa shaba ya kichwa, na watu...
Viongozi wa serikali na chama tawala, naona busara zimewapungua, wanatumia pesa na nyadhifa kama busara, ndo maana tunahitaji katiba mpya ambayo viongozi wa serikali watakuwa na displine katika utendaji wao, mimi na wananchi wenzangu ambao tunateseka na hali ngumu ya maisha, tunatoa tamko, kuwa...
Viongozi wa serikali na chama tawala, naona busara zimewapungua, wanatumia pesa na nyadhifa kama busara, ndo maana tunahitaji katiba mpya ambayo viongozi wa serikali watakuwa na displine katika utendaji wao, mimi na wananchi wenzangu ambao tunateseka na hali ngumu ya maisha, tunatoa tamko, kuwa...
Hapa kunahatari yatakayo jitokeza, swala la mtu kujadili na kuhoji udini wa myu mwingine kila siku si swala nzuri hata kidogo, uwingi wa wafuasi wa dhehebu fulani si sababu ya kuwa viongozi, hii ni dhana potovu kabisa na inachochea chuki na ugomvi miongoni mwa jamii yetu, huyo shekhe anapaswa...
Habari za ndani ya mji wa Arusha, la kwanini meye wa mji wa Arusha ang'ang'anie nafasi ambayo hajachaguliwa ki uhalali ni kwamba yuko pale kulinda maslahi ya wa kubwa kwa garama yoyote, pale Arusha kuna mashamba yanaitwa mashamba ya Burka. yako karibu na makao makuu ya TANAPA na kwa Askofu wa...
ki ukweli January makamba hoja yake ni nzuri na ameweka facts na baadhi ya vitu ambavyo labda hata sisi hatukuya jua kama mtambo wa mwanza unaolipwa bila kuzalisha umeme, na jinsi huyo wakili alivyo cheza rough na tanesco, ila mimi na shukuru kwa ujumbe ambao sidhani kama utaleta nafuu kwa wa...
Hivi huko serikalini hakuna hata mtu mmoja liye bakiza akili hata kidogo ya kutafakari kuwa wa Tanzania wa leo si wale wa enzi zao! hivi utalipaje campuni ambayo mmiliki wake hajulikani! je nani alikuwa anaendesha keshi inayo semekana ameshinda na serikali inapaswa kuilipa DOWANS, Hata hawa wana...
Mi naona historia hukusoma au kama ulisoma basi ulizungusha, hakuna kabila linaloitwa wambulu, Mbulu ni wilaya, kabila ni wairaqw, wala hakuna wa gadzabe ni wa hadzabe, sasa warangi, wala hata hawahusiani na wairaqw, wala wanyaturu, wala wataturu, ila wa mang'ati, wa barbaig, wataturu, watatoig...
Hivi ni waislamu wa ngapi wanao soma kwenye taasisi za kidini! shule za sekondary, vyuo, vyuo vikuu, je serikali inavyuo vingapi ambavyo vinaweza kuakomodate waislamu wote wenye sifa za kusoma vyuo vikuu, mfano, tumaini universities zote 6 zina waislamu wangapi je wanaonewa! st Agustino na vyuo...
Naona wana JF sasa tunaelekea kubaya kujadili issue za udini, mtu anapohesabu mapungufu ya upande mmoja na kuweka kama ndiyo agenda ya kitaifa ni kupoteza maana na uhalisia wa mjadala, leo tunaweza kusema kipindi cha uongozi wa mwl nyerere waislamu walionewa, kwa vile Nyerere mkristo, je kipindi...
mimi si mwana chama wa chama chochote cha siasa, na sina nafasi yoyote katika chama chochote, ila kama huyo A.Kinana anathubutu kuhojiana na Dr Wilbrod Rais mtarajiwa awamu ya 5. na mimi acha ni seme kinana wewe ni campain manager wa kikwete, na wewe mwenyewe unaona upepo unakoelekea, mimi na...
muna mtu mmjoa mmemsahau, yeye siyo empty tu bali ni hola kabisa, marmo wa ofisi ya rais utumishi + hawa ghasia, wote upupu mtupu. na yule ambaye hazimtoshi mzee wa kulisha watu majani, mramba.
hiyo ni kujihami tu wala hawana lolote hawa wameshaishiwa sera ndo maana mkuu wao amebakia kuahidi tu, hata hajui atapata wapi pesa, mtu waajabu kweli huyu, haamini hata makada wake, anaamini familia yake na ya makamba, lakini kura anataka zetu, mwaka huu wake
kumbuka safari ya wana wa israel, kutoka nchi ya misri wakienda nchi walio ahidiwa na mungu, lakini farao na jeshi lake walipania kuwaangamiza, wakiwa wanaielekea bahari ya sham,nyuma jeshi la farao, mungu alisema na musa bahari ikafunguka nchi kavu ikaonekana na wana wa israel wakapita salama...
kwakweli wewe ndo unaelewa nini maana ya kuchoka na kutaka kufanya mabadiliko, hoja yako ni ya msingi sana, ila usikate tamaa siunajua saa zingine mambo ya uchumi, ila mungu ni mkuu, nina imani Dr atakuja huko lazima. pole sana na endelea kuwahamasisha watanzania, wanaopenda maendeleo, hata huku...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.