Search results

  1. HORSE POWER

    Mambo 17 yaliyosababisha kuuawa kwa Gadaffi

    Mabeberu a.k.a. Majambazi wa Ulimwengu,hawataki kuona Afrika inakua na kiongozi anayejitambua.Kiongozi yeyote aliyeamua kusimama kwa miguu miwili bila ya woga na kupambania maslahi ya wengi katika nchi yake,huyu ni hatari kwa maslahi yao.Wao wanahitaji viongozi 'idiots' ambao wataimba na kucheza...
  2. HORSE POWER

    Nini kimefanya bunge lipoteze mvuto?

    Bunge la walanchi badala ya wananchi.Sisi wanachi tungekua na mamlaka ya kikatiba,haraka sana tungeingia kwenye uchaguzi mkuu.
  3. HORSE POWER

    Kwanini BBC swahili inahimiza Islamic State wamehusika Urusi wakati Urusi inasema Ukraine ndio wahusika?

    Islamic state hapa ni 'scapegoat' tu.Kuna nyang'au katengeneza huu mchezo halafu kakaa pembeni.
  4. HORSE POWER

    Senagal imechagua Rais kijana kuliko nchi yoyote Afrika

    Huku kwetu vijana wapo 'busy' na Simba,Yanga,pool table,singeli,kucheza kamari,uzinzi,kupiga dili n.k.Hawana muda na 'mambo nyeti' yahusuyo kesho yao.Na hali hii ndio mtaji mkubwa wa watawala wachovu wasiojua wanaelekea wapi.
  5. HORSE POWER

    Iran imepiga hatua kubwa kwa zana za kivita

    Sisi karne hii ya 21 bado tunahangaika na madarasa na madawati.Tupo nyuma ya muda kweli kweli.
  6. HORSE POWER

    Ni kitu gani kilikuwa kinafanyika shuleni uliona cha kawaida, lakini umekuja kugundua ilikuwa unyanyasaji na udhalilishaji?

    Nakumbuka mawili: 1.Wanaofanya uhuni na fujo darasani ni wawili au watatu lakini mnanyukwa darasan zima. 2.Mnafagia viwanja vya shule huku mkibugia vumbi,ila akipita mwalimu mnalazimika msimame ili apite kwanza maana mtatimulia vumbi. 3.Mkipigana mnashughulikiwa wote bila kupewa fursa ya...
  7. HORSE POWER

    Wenza wa watumishi wa Serikali nao walipwe Mafao

    Hii ni sheria ya kiporaji na udhalimu mkubwa mno.Hii nchi mapesa mengi yanapukutika kwenye anasa za wakubwa wetu.Nchi hii siasa ni biashara,ukipata uongozi ni fursa ya kutajirika.Na wataendelea kupukutisha pesa za umma kwa sheria za kinyang'anyi mpaka hapo Watz watakapoamka usingizini
  8. HORSE POWER

    Kitu gani kitakushawishi kuichagua au kutokuichagua tena Serikali iliyopo madarakani?

    Mfumo mbovu wa uchaguzi na uchaguzi wenyewe. Uchaguzi nchi hii ni hadaa tu.
  9. HORSE POWER

    Rais wa Liberia aunda Kikosi cha Kudhibiti Rushwa na kurejesha Mali zilizoibwa Serikalini

    Hiki kimbunga kikipita huku,wakubwa wengi wataingia kwenye umasikini.
  10. HORSE POWER

    Hivi watu weusi duniani kote tuna matatizo? Haiti ina miaka zaidi ya 200 ya uhuru lakini maendeleo haifikii South Korea

    Kikubwa kinachotusumbua Waafrika ni inferiority complex syndrome,ubinafsi, shortsited mind,wizi na anasa.
  11. HORSE POWER

    Nitawashangaa BASATA wasipomfungia ZUCHU hata miaka mtano kwa Uchache

    Kuna wanamuziki wengi wanapaswa kufungiwa maisha kujihusisha na muziki.Huko kwenye filamu ndio laana tupu..
  12. HORSE POWER

    Nani anatoa 'kitita' cha kuwahamisha Wamasai kutoka Ngorongoro? Tunapata faida gani kama Taifa?

    Hilo eneo limeshauzwa.Haihitaji digrii kiling'amua hilo
  13. HORSE POWER

    Inawezekanaje mtumishi wa Idara ya Usalama wa Taifa kujihusisha na ufisadi?

    Tusisahau kwamba WIZI ni TABIA kama tabia nyingine tu.Kwa hiyo haijalishi yupo idara gani au taasisi gani;kama ni mwizi ataendelea na wizi tu.
  14. HORSE POWER

    Kiongozi wa umma kumiliki vitu vya anasa huku kundi la unaowatawala wakipitia dhiki haijengi taswira nzuri

    "Acha wacheke kwa muda tu,watalia sana kilio kisicho na mwisho."
Back
Top Bottom