unashindwaje jisajili tradecarview , be foward au sbt ukaagiza gari mwenyewe?
hao jamaa.janja janja sana bora uende showroom ukachague mwenyewe kama huwezi agiza
Jipatie simu ya mezani
inayotumia laini ya mtandao wowote ( tigo,voda,airtel,ttcl,zantel,halotel)
Inau wezo wa kutuma message na kupokea, ina alarm pamoja na redio
80000/=
call/watsup 0712326009
Dar free delivared
Mikoani tunatuma kwa gharama za mteja.
hawa jamaa usipokuwa makini wanakubambika
nliwaigi shauri msomamita anapokuja kuwe na mtu kuyoka nyumba husika ahakikishe wanachosoma kama ni kweli lakini wapi wakati mwengine hawaji wanakadiria
Sent using Jamii Forums mobile app
hili la graduate makazini ni tatizo liangaliwe kwakweli wahitimu wa sasa wanasomea wapate vyeti na kuvaa joho wapige picha lakini field ni utumbo mtupu
Sent using Jamii Forums mobile app
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.