Pole sna, hayo ndo mapito hapa ulimwenguni, yakupasa kuvumilia kila jambo, kikubwa sasa inabidi ujirudi ktk maisha yanayoendana na kipato chako, funzo ulishalipata kwamba huyo mzee wako biashara hawezi, siku nyingine biashara vyema ukaifahamu kabla na hata kama wewe uko na ajira sehemu nyingine...
Kama alisomeshwa na Kanisa sidhani kama angeweza kununua jina la mtu na kwa ameshatoka sasa ni namna ya wewe na mimi tutoke vipi,....waziri chapa kazi bhana!! Achana na hizi longo longo, kuna jamaa aliwataja watu kwa majina kuwa wanavyeti feki na jamaa wakatishia kumshitaka wameishia wapi...?
MZALENDO WA UKWELI, WAKO NA WENGINE LAKINI NADHANI UOGA WAO NDIO UNAOWAFANYA WASHINDWE KUKUNJUA MAKUCHA YAO...Kikubwa hapa ni namna gani tutaweza kuifanya nchi yetu kupiga hatua katika uchumi haswa ktk huu ushindani wa soko huria la A.Mashariki, kiukweli kama tukiweza kuitumia reli kama kitega...
Kama walitumia njia za panya kwa manufaa yao TANAPA wako sahihi kuwafungia Ahsante Tours kwani utaratibu unaeleweka kuwa lazima mgeni na Mtz walipie kabla ya kupanda mlima au kuingia ndani ya hifadhi. Lakini napata shida kidogo serikali imefahamu vipi kiasi tajwa kuwa ndicho walichopaswa...
Aisee hongera kwa kupata shemeji mzuri, mwenye heshima na mkarimu kiasi hicho. Lakini kipi cha ajabu hapo...kukupigia magoti? kuna makabila jinsia ya kike kuchuchumaa mbele ya mwananume ni tamaduni, nadhani ni vyama nawe ukaendelea kumpatia heshima yake kama shemeji na wala usifikirie vinginevyo...
Muongo huyo hakuna cha tego wala nini...ww fanya sio kwa kujaribu ingia na miguu yote,,,angekuwa amekutega asingekuambia ila anakutisha ingawa kwa namna moja ama nyingine ni nzuri kukulinda kwa style hiyo kwani kujaribu jaribu nayo sio ishu.
Hapana kwani hata mdada mwenzio nae atakupa stress dawa ni kukomaa tu kwani stress ni kila mwana wa Adam hivyo usijekwepa mkojo ukaenda kukanyaga kinyesi...ww tulizana na huyo anaekupa stress kikubwa usiwe mtu wa kufuatilia vitu vidogo vidogo.
Pole na kwa upande mwingine hongera kwa kutaraji mtoto toka kwa huyo demu wako.Kikubwa jua ya kwamba huwezi kugawa penzi hivyo kama uliamua kuzaa nje ya ndoa yako basi huo ni usaliti mkubwa sana ndani ya ndoa yanu, je mkeo nae akiwa na DUME lingine nje utafurai? Kama ndivyo...KILA...
Muulize taratibu atakupa sababu na kukaa kwako sio sbb ya yeye kuogopa kukueleza ukweli lkn huenda ndo nature yake, endelea kumdodosa utalijua hilo.....
Yaani leo ndio unalitambua hilo? Pole..chama kinawenyewe hicho...c chama cha wakulima na wafanyakazi tena. Lakini ndivyo ilivyo "SIKIO LA KUFA HUWA HALISIKII DAWA"
Barikiwa sana watu wa Mungu mnaoomba juu ya nchi hii...iko siku hata yasiyotarajiwa kuwa hadharani yatajitokeza...endeleeni kuomba!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.