Search results

  1. Mzee wa Rula

    Uchaguzi 2020 Mgombea kupitia CHADEMA, Tundu Lissu achukua fomu za Kugombea Urais wa Tanzania ofisi za NEC Dodoma

    Watu billion moja ni wengi sana bila link kama ni ya youtube au Jamiiforuns Live au source yoyote itabaki kuwa blah blah za mtandaoni!
  2. Mzee wa Rula

    DC Longido: Kukosoa Serikali ya Magufuli ni kumkosoa Mungu, kwani hata Mungu alianza kuumba vitu na siyo mtu

    Wachache wanaojua suala hilo, siku aking'olewa u-DC ndiyo atajua. Amuulize Kange Lugola Sent using Jamii Forums mobile app
  3. Mzee wa Rula

    TANZIA Mwanachama wa JamiiForums (kutoka JF Arusha Wing), Easymutant afariki dunia

    Kifo hiki kimenitoa machozi sana ila kwa sababu maamuzi ya Mungu hayana kupinda itoshe kusema tangulia mbele ya haki. Bwana Ametoa Bwana Ametwaa.
  4. Mzee wa Rula

    Wafungwa kadhaa wamejeruhiwa vibaya Gereza la Maweni Tanga

    Hajafungwa bali yupo gerezani kama mahabusu anakabiliana na kesi yake ya kukutwa na madawa ya kulevya
  5. Mzee wa Rula

    Wafungwa kadhaa wamejeruhiwa vibaya Gereza la Maweni Tanga

    Mimi naona kawaida kabisa endapo ni kweli watakuwa wameingiza simu gerezani kwani kwa mujibu wa sheria za jeshi hilo la Magereza ni marufuku mfungwa kuingiza simu kwa njia yoyote gerezani. Na endapo inapotokea hisia kama hizo sidhani kama nguvu haiwezi kutumika ili kushinikiza watuhumiwa...
  6. Mzee wa Rula

    Je, nitumie mbao gani kutengeneza frame za milango na milango bora?

    Hata kama utaweka frame za chuma lakini huwezi kuruka kuwema frame za mbao plus top zake na bei ya mninga ipo juu kidogo japokuwa wabongo sometimes wahuni wanatumia mbao nyingine kisha wanapaka rangi feki feki kama hujui mbao ndiyo unakuwa umeligwa changa la macho
  7. Mzee wa Rula

    Askari watwangana hadharani

    Kama kafanya jinai anakwenda jela kama kawaida ila kama ni makosa ya kinidhamu wanaadhibiana wao kwa wao
  8. Mzee wa Rula

    Q-NET Company "biashara mtandao" ni utapeli unaoenea kwa kasi Tanzania. Serikali mko wapi?

    Mimi nilibahatika kufika ofisi yao siku moja na kupewa lecture zao. Kwanza nilishangazwa sana na namna wanavyosalimiana kwa kusema kila muda goodmorning! Pili wale watoa lecture wanatumia nguvu sana kulinda hoja kwamba QNet ni tofauti na pyramids nyingine zilizoliza watu. Tatu hawataki kabisa...
  9. Mzee wa Rula

    Yajue masharti ya kufuga njiwa: Hawapendi Umbea na Ulevi

    Sasa unawajulishaje msiba kama upo? Yaani unawasiliana nao kivipi?
  10. Mzee wa Rula

    Ya MC Pilipili hayapaswi kufanywa na mwanaume rijali

    Ndiyo ulie??? Mc Pilipili ameonyesha ufala wa kiwango cha PHD Sent using Jamii Forums mobile app
  11. Mzee wa Rula

    Zitto ahoji hali ya uchumi kwa kurejea figure za BOT

    Imports ikishuka ni vizuri endapo exports inapanda. Sasa kama vyote vinashuka athari kubwa ipo kwa serikali kukosa kodi kupitia importation na kukosa forex kupitia kupungua kwa expotation. Hasa kwa Tanzania nategemea sana kodi ya bandari pale Dar, hivyo kupungua kwa impotation ni balaa kubwa...
  12. Mzee wa Rula

    ATCL yaelemewa na madeni, yaondolewa kwenye mfumo wa malipo wa IATA

    Naomba kuuliza kama ATCL ilikaguliwa na CAG? Lakini pia mambo mengi siku hizi yamekuwa kama imani ya dini, ukisema Yesu si Mungu Mkristo hawezi kukuelewa au useme Yesu alifia msalabani kwa Muislam hawezi kukuelewa. Data au mambo mengi tumeacha line of fact tumejikita kwenye propaganda. Binafsi...
  13. Mzee wa Rula

    TCRA yapigilia msumari wa mwisho juu ya ving'amuzi!

    Waanze kurusha matangazo yao bure kwa sababu za kibiashara ambazo hazieleweki?
  14. Mzee wa Rula

    Elections 2015 Mbunge wa Jimbo la Monduli, Julius Kalanga (CHADEMA), ajiuzulu na kuhamia CCM

    Sijui nani katuloga kwa kweli. Huu ni aina mpya ya ufisadi au upotezaji pesa za wananchi.
  15. Mzee wa Rula

    NMB wamejitoa huduma ya 'Salary Advance' kwa Watumishi wa Umma

    Kama ulishawahi kukopa na hutajalipa black list lazima ikuhusu
  16. Mzee wa Rula

    Hongera IGP Sirro kwa kupuuza agizo la Lugola. Ni ujumbe tosha kuwa jeshi lina taratibu zake

    No yule alitakiwa kustaafu February ila ni kama JPM alimruhusu aende mpaka June. Hivyo alitakiwa kukabidhi ofisi kitambo tu na ndiyo maana Rais alipomteua CGP hakuchelewa kuondoka lakini siyo kwamba alijiuzuru kwa sababu ya kadhia ya Lugola. Ila ungeniambia kutokana na Lugola kujua jamaa...
  17. Mzee wa Rula

    Mohamed ' Mo ' Dewji usikubali kutoa Pesa yako kutusajilia Simba SC wachezaji hawa wabovu

    Umejitahidi sana kutoa mtazamo wako lakini bado nikujuze kitu kimoja. 1. Naamini huu ni usajili wa ndani tu ambao bila ya shaka kwa aina ya washambuliaji tuliano saizi Tanzania bila ya kuwachukua hao sijui utakwenda wapi tena kusajili! Salamba naona kama amelalamikiwa sana na wanasimba wengi...
  18. Mzee wa Rula

    Ukubwa wa maumbile ya mume wangu umesababisha vifo vya waganga 7

    Hana lolote utakuwa ni uwongo wa kumtafutia kick Ustadh tu.
  19. Mzee wa Rula

    Ukubwa wa maumbile ya mume wangu umesababisha vifo vya waganga 7

    Kick za matapeli hata mimi naona. Mpaka namba tena zinatolewa na uwongo mwingi.
  20. Mzee wa Rula

    Niko addicted na Mlima Kilimanjaro! I love this Mountain...

    Issue kubwa ni kufanya mazoezi sana kabla hujaenda ili kujenga stamina na kuwa mvumilivu kwa kiwango cha juu ili uweze kufika peak. Kama utatumia Marangu route kwa siku tano inabidi ujipange sana. 1. Siku ya kwanza unatoka Marangu - Mandara 8kms 2. Siku ya pili from Mandara - Horombo 12kms...
Back
Top Bottom