‎"Jamaa mmoja alikuwa ndani ya daladala, Tumbo likaanza kumsumbua coz of gesi. Jamaa akaona bora ajambe kwa kufuata bit la mziki. Kweli Jamaa akajamba kwa kufuata biti la mziki na tumbo likatulia. Alipokuwa akishuka akashangaa kuona watau waliomo kwe ile daladala wakimshangaa kichizi...
dah nimepnda sana mawazo yako kaka
hnk i can add up somethng
the thing is bado wanawae wengi wana maisha ya kuigiza
"nataka kuishi kama flan",ofcoz kila mtu anatamani kuishi maisha mazuri bt utofauti ni kwamba watu wengi wanaexpect too much in too soon
umasikini wa fikra na kutojiamini...
ivi ni kweli uyo mkuu wa wilaya yupo serious au!!!!!kama kweli serikali inadai inaondoa siasa vyuoni hiki anachofanya uyu ni nini??????siamini kama viongozi wengine hasa wa chuo wanaliona hili afu wapo kimya 2,,kwa kweli tz hakuna tunapo elekea kwa staili hii..,viongozi wa udom nao badala ya...
Kwa kweli Kikula una matatizo, kama unao ushahidi wa hao waliotaka kutengeneza mabomu, wafungulieni mashtaka mahakamani, huwezi kudanganya watu wazima kwa kuja kwako usiku kuzuia mgomo kwa madai kuwa matatizo yetu yanashughulikiw a, tulipogoma mwezi disemba mwaka jana mliahidi pamoja na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.