Toa jibu....tuko 3 tumechanga kumi kumi tukapata 30.tukanunua chakula cha 25.tukapata chenji ya 5.tukagawana moja moja zikabaki mbili.hizo mbili tukatoa zawadi kwa muhudumu.
SWALI:Tulitoa kumi kumi tukarudishiwa moja moja inakuwa tumetoa tisa tisa.kwa sisi watatu jumla inakuwa 27 ukijumlisha na...
Huko NAIVASHA KENYA niliona magari la miaka ya hamsini yakiwa katika hali nzuri utadhani yanatoka kiwandani yakiuzwa kati ya USD150000 na Usd 200000.Kweli ni mazuri na yanavutia
Someni in between the lines sakata hili la Hon Chenge, mimi naona huyu bwana ataondolewa katika Chama kuonesha ukomavu.Na kama CCM ikishika madaraka tena atasamehewa na kurudi kundini na kumfanya MBUNGE wa Bariadi amuachie kiti.
Mambo binafsi tuwaachie wenyewe.Muhimu tumtafute kiongozi bora..atoke kokote kule ili atuwezeshe tutoke hapa tulipo.Wandugu huku kwenye serikali za mitaa na vijiji maisha yamebana ile mbaya,kama vile gari imekata ring piston
Kumuuwa ALBINO ni dhambi isiyofutika.Hakuna sababu yoyote ile ya kutokumtaja muhusika au hata kama ni SUSPECT.Watajwe tu ili tuwajuwe na tusaidie polisi."UKWELI PIA HUPATIKANA KWENYE UWONGO"
Mh Judge Warioba wengine tunamuita baba na wengine wanamuita Babu.Ni imani yangu Mzee Warioba kwa sifa zake za u Baba na U babu alikwisha msamehe RIP KOMBA,mzazi hauwi.Maandiko matakatifu yanatutaka tusameane ili iwe sababu ya ku upata ufalme wa mbinguni.
Na kuhusu picha za maiti baada ya ajali kwa ajili ya utambulisho???nadhani mbaya ni picha za kumdhalilisha,Daktari hana muda wa kupiga picha kama mimi na wewe.
Utashindwa kumaliza kero na ukazidisha mgogoro kati ya wana Kinondoni na Chama chako.nakushauri achana na hiyo...huko wako Mnyika, Halima na Azan wanatosha.
CCM toa maamuzi ili watu wajipange,dakika za mwisho zitaleta balaa.Na mbona kila siku Nape anakuja na taratibu mpya za kuwajibisha wale sita ie Lowassa,Wassira,January etc.Inaonesha hapa iko kitu ndani ya box.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.