jus lyk h tjhe name "charityboy".....wanaomuweka mjini wanam-monitor ni jinsi gani anasupport undundu wa majambazi wa shit-shit-em..!!wise jf members dnt pay attention to him ili tumuonyeshe tofauti yetu na yeye asiyeweza jiuliza kwanini au faida yake ni nini kuisupport ccm na vibaraka...
Leo wakati naisoma katiba katika ibara inayotoa muongozo wa Tume ya uchaguzi nilikutana na uozo wa karne. Pamoja ya kuwa karibu vipengele vyote vina shida kubwa tu, lakini hii hapa imevunja rekodi.....
......Ibara ya 74 (12) Hakuna mahakama yoyote itakayokuwa na mamlaka ya
kuchunguza jambo...
Hii kesi ni ya kupika OForensic haionyeshi kabisa kama kuna ishara ya ubakaji...M/Mungu amewajaalia wanawake nguvu nyingi za kumshinda hata simba anapokuwa kwenye hatari....iweje mtu atolewe umbali mrefu ivyo pasipo kujaribu kujiokoa?then wakafika mpaka kwenye hostel ambapo chumba...
Ingawa alikuwa mwanzilishi wa CCM, kwa nia njema ya kuendeleza mapinduzi katika nchi yetu, miaka ilivyozidi kwenda Mwalimu Nyerere alishuhudia jinsi CCM ilivyobadilika na kuwa mzigo kwake na pia tishio kwa usalama wa Taifa.
Mwaka 1993 Mwalimu alichapisha kitabu kiitwacho Uongozi Wetu na...
Sio mfa maji haachi kutapatapa,hujaelewa analysis iliyofanywa kiyakinifu.......we dont need JK and he knows that though still kwa ubongo wake ulivyo hafifu anaweza asiwe amepata picha halisi ya wananchi na misimamo yao.....!!!
Nahisi Watanzania tuna uwezo wa kusahau mapema zaidi kuliko viumbe wengine duniani.
JK alitakiwa kuotpata kura hata moja kama haya kwenye hii link yangekumbukwa na kuishi vichwani mwetu...Bank of Tanzania (BoT) External Payment Arrears (EPA)
This was not a poem you ngedere....!!!you didn't get what was contained in it....!!!you stay away from us who strive for better changes in our motherland...!!
Apigwe tu chini....ana laaaana za ajabu sana uyu kima.....anatoa roho za watu utadhani yeye ni Israel mtoa roho...!!!mwisho wa dhambi ni aibu siku zote.
Mijini ndio kuna watu wengi wenye upeo na kuweza kuchuja zuri na baya....so CHADEMA kushinda mijini ni lazima...ila ni ishara nzuri ya kuanzia na uchaguzi ujao CHADEMA itaongeza wawakilishi wenye sifa zaidi......CCM wanapigiwa kura na watu wa vijijini zaidi ambao CCM wenyewe wamewanyima nafasi...
Masha si mbunge tena Nyamagana.......Wenje juuuuuu....CHADEMA juuuuuuu.....CCM chaliiiiiiii.......hongereni sana watanzania mnaohitaji mabadiliko Nyamagana na Tanzania nzima....aluta continua.....!!
Dr. Slaa will never will never fall......!!!the truth remains,MY PRESIDENT IS DR. SLAA........He is a Tanzanian hero of all times...he will remain like that.....!!!
Dont be shortsighted!its a high time now Tanzanians to dare for changes...!!!we will be in position to judge Dr. Slaa after he has ruled like how we judge this "empty head one"(JK).........LETS DARE FOR CHANGES.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.