Unaposhindwa kusikilizana na madiwan au wazee wa chama ukataka kuacha kazi basi umeshindwa kazi sio kutaka by the way madiwan wanaingilianaje kiutendaji na DC kiasi cha kutaka kuacha kazi labda DED ningeelewa
Down the memory lane did you ever play those child-playing marbles in your heydays? This game used to sharpen our geometry skills as we tried hard to position ourselves to a point where we would knock the opponent marble and be able to go into the ring. Now this story isn’t about marbles though...
Jeshi linauelewa wa kutosha juu ya magonjwa ya mlipuko ? Je watanzania si waelewa kiasi itumike nguvu ? Nadhan kwa maoni yangu jeshi letu liachwe, kwenye hili wao wenyewe wana vifo vingi hawavitolei hata sbb just take the case la wale waliopoteza uhai kiangaiko hapo
Mimi si mfuatiliaji sana wa maswala ya siasa ila kwa tukio la hivi karibuni la viongozi wa Chadema kutakiwa kulipa faini ya Tsh. 350mil nadhani kila mtanzania kwa nafasi yake amekuwa akilifuatilia hili
Nilijiulizwa maswali kazaa wakati nikishusha ka eagle baridi ili nikajilaze na uchovu wa siku...
Ujamaa (aliokulia mzaz wako ) haukuwah kufundisha haya na ww una haya sbb umekulia kwenye mazingira yasiyo ya kijamaa 100% na unaweza pewa huo mtaji ukafeli maana hujakulia kwenye ubepari wa 100% mfano wako wa mo dewji ana exposure kubwa ya kibepari amesoma US usisahau hili wazaz wapo sawa na ww...
Kuna tukio huwa nakumbuka tukiwa wanafunzi wa sekondari tuliwah badirishiwa walimu wa 3 kwa muda wa kipindi kifupi cha ajab mwl.wa kwanza alipokuja tukamwambia tuliishia topic flan ila hatukuilewa vzuri
Yule mwl mpya namba moja akaifundisha tena maana ilikuwa ni msingi muhimu kwa topic...
Nchi yetu inaelekea katika uchumi wa kati lakini moja ya sekta itakayochelewa sana ni sekta ya huduma na challenge kubwa ni customer care na namna unavyoipata (customer service)
Ukienda Bank kuweka vi senti vyako unamkuta taller kanuna, hakupi hata salam. Ukipita ofisi nyingi mjini wahudumu wa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.