Mimi ni mhitimu wa kozi hiyo hapo maslahi ni makubwa. Sekta ya upelekaji na usimamizi wa shehena imepanuka( freight Clearing & Forwarding/ Shipping Logistics).Vihiyo wote serikali ina mpango kuwaondoa kwenye game.
sio kweli kuwa azam cola nzuri! ina sukari nyingi,sumu kibao,(presevative)Ushauri nunua blender tengeneza healthy natural juices wewe mwenyewe.Maisha haya unatakiwa kuwa mtumiaji mwenye upeo Dunia imekuwa mahali hatari!!
ahsante sana ndugu LAT mchango wako ninauthamini sana. Nimekuwa nikifikiria mradi bamboo kwa muda sana sasa nafikiri ninepata platform ya kuongeza maarifa.JF pamoja tutaikomboa Tanzania na kurudisha hadhi yake.
Nauliza mkuu LAT je Bamboo zinaweza kushamiri ukanda wa miinuko wa pwani?eg Morogoro...
Bei za huku zinaathiriwa sana na manunuzi yaliyofanyika karibuni(market trends). Kwa mfano bei ilikuwa chini ya 300 000 lkn wakaja jamaa fulani wenye pesa wakanunua eka kibao kwa 350 000, balaa na wanakijiji wengine wakatamani range hiyo.
wanaoharibu bei ni vigogo!
Yaah, ndio hayo! uko mwepesi sana ndugu. Yes exportation ndio hasa lengo langu,nashukuru mungu shule ipo ukingoni kwani nayo ilikuwa some kind ya mzigo, sasa ninaweza kuwa na muda wa kutosha kufanya shughuli zangu. Oppurtunities za market kwa kilimo ni kubwa na zitazidi kuja lakini je...
ahsante, ila changamoto katika nchi zetu kilimo kinachanganywa na siasa, na viongozi wetu hawako serious na kilimo.
mfano bei na upatikanaji wa mbegu bora ni ishu.
tafiti haziwi communicated kwa wakulima
miundombinu ya kibiashara mibovu
maeneo makubwa ya ardhi yamehodhiwa na vigogo pasi...
market nategemea kuuza kisutu market na kuhuisha potential customers nipo kwenye mchakato wa kuanza mazungumzo na shoprite chains.
mwendo wastani dk 30 or so barabara sio tarmac so it varies ni njiapanda ya Kipalang'anda unaingia ndani.
Ndugu ahsante, Mung'unya linaloitwa butternut squash ni aina ya boga zenye umbo dogo na rangi kama ya machungwa. Yapo familia moja inaitwa "cucurbits" pamoja na matango,tikiti,maboga ya kawaida,n.k. faida zake ni kwamba huzaa sana kuliko boga za kawaida na sehemu inayoliwa ni kubwa (minofu)...
Katika harakati za kujijengea uwezo wa baadae(near future) niliamua kutumia pesa zangu kidogo za bodi ya mkopo (mimi ni mwanafunzi mwaka wa tatu) kufanya kilimo. Nilianza na project tatu tofauti kwanza fish farming -mkenge mkuranga(Upo hatua za awali) pili kilimo cha...
Habari mkuu,nenda pale LITI- Morogoro wana kitengo cha ushauri utajifunza mengi. Au for practical guide fika maili moja Kibaha mkoani karibu na Polisi kuna msitu wanafuga kisasa.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.